mtu kama Ole anapata nafasi ya kuwa head coach wa United halafu ajiuzulu....hahahahahaha hapana kwa keliMkuu kama Ole ana nia kweli ya kuondoa hizo takataka na Ed anazingua ni bora ajiuzulu kiroho safi tu..maana hakuna atakalolifanya..na hii itatusaidia kuprove kuwa tatizo kubwa ni Ed
Au wewe solution unaona ni ipi??
Martial anataka kuaminiwa, apangwe tu hata akivurunda. Anahitaji kujengewa confidenceMartial ana kipaji kikubwa sana, tatizo ni mvivu
Nimewahi kusema hapa, ni uamuzi wake tu awe kama CR7 au Luis Nani
Ameshapangwa sana, yeye azubae tu akina Chong waje wamnyang'anye namba, si unaona United WANA mpango wa kumleta yule dogo Daniel James aje ampe competition (kulia au kushoto)Martial anataka kuaminiwa, apangwe tu hata akivurunda. Anahitaji kujengewa confidence
apo kwel mkuuu dg noma san huyuKuna kipaji kipya cha mpira ukimwangalia uchezaji wake ni kama mesut ozil tofauti yy na ozil yeye ni mfungaji alafu anacheza mpira wa speed.. Anaitwa Kai havertz ni mchezaji mwenye kipaji kikubwa ana miaka 19.. Ana magoli 11 kwenye ligi yao na assist 6 hivi ni raia ya ujerimani na ananipiga bayer leverkusen.. hapo man utd hatumuoni huyu kijana tulambe dume kwa bei ya kawaida.. he is very talented young player.. Pengine msimu ujao akitakiwa pesa ndefu itatumika kwa anaye mhitaji.. ningekuwa na uwezo ningepiga simu au ningeshauri tumchukue huyo kijana anacheza ligi kuu ya ujerumani aka Bundesliga... Wadau mtafuteni mulete ushuhuda me niliwahi muona mechi moja kwenye star times live match toka hapo nikasema nimfatilie anakipaji Sana huyo ni *Kai havertz*
Juninho Pernambucano "mzee wa dead balls" ameteuliwa kuwa technical director wa klabu ya Lyon
United???
Hata ajitume vipi hawezi kufikia robo ya uwezo wa cr7....Martial ana kipaji kikubwa sana, tatizo ni mvivu
Nimewahi kusema hapa, ni uamuzi wake tu awe kama CR7 au Luis Nani
Martial hana ndoto za kuwa mkubwa isipokuwa kuna watu wamemvimbisha kichwa tu ila kiukweli ni average player aliyekatika timu kubwa tuHata ajitume vipi hawezi kufikia robo ya uwezo wa cr7....
Kwa umri wa martial Cr7 alikuwa ameshafanya MAkubwa hapa duniani
Huwa sikuelewi kila tatizo la United unamuangushia Mourinho,alisajili wachezaji wafuatao na umri waoMkuu ni kweli wachezaji wote wana viwango vya juu,na wataweza ku add quality katika team.
Tatizo langu mimi ni umri mchezaji akifikisha umri wa 30 napata tatizo kubwa kumsajili ukiondoa nafasi ya kipa.Toby ni mzuri lakini 30 years ni tatizo kubwa ambalo Jose alililea na kuharibu team pakubwa.
Ni kwanini tusisajili baki wa kati mwenye umri wa kati ya 20 hadi 27 mwisho ?.Ebu nishawishi walau kiduchu mchezaji wa 30 tunampeleka wapi zaidi ya kwenda kuzipa vipaji vya akina Tuazabe na ......
I doubt hata kama unamfahamu Toby tunayemzungumzia,Toby anacheza Spurs na amecheza EPL kwa misimu 5 nowMkuu nadhani tukianza kusajili wachezaji wa umri wa 30 ni sawa na kupiga hatua 2 mbele na kurudi hatua 5 nyuma halafu ukajisifu kwamba umesonga mbele.Tofauti ya Toby na Smalling ni ndogo sana tena tutakuja mtukana Ole kwa uzembe wa kusajili baki wa kati mzee ambae hawezi kasi ya EPL.Kama angekuwa free labda tungejaribu lakini kutoa mpunga kwa mchezaji anayemalizia soka lake mimi naona ni risk kubwa sana.
Tulishaenda huko tukawasajili Rojo,Lindelof na DalotNadhani tukienda France au Ureno na 25 m tutapata beki mzuri na mwenye umri mdogo.
I doubt hata kama unamfahamu Toby tunayemzungumzia,Toby anacheza Spurs na amecheza EPL kwa misimu 5 now
2015-2016 alikuwa kwenye PFA Team of the year sijui unaizungumzia kasi ipi na hawa wenye kasi Smalling,Jones,Rojo wamefanya nini cha ajabu
Pia tabia ya Ed kusubiri mkataba unakaribia kuisha ndio kuanza mazungumzo ya kuongeza mkataba ni makosa ilitokea kwa Fellaini,akaja Valencia,wamekuja Herrera,Mata,De Gea wote wanawasumbua now.Man City Benardo,Laporte walisajiliwa wakacheza msimu mmoja tu wakaongezewa mkataba.Juventus/PSG now wanavizia wachezaji wanaomaliza mikataba yao wanawasijili kiulaini (Ramsey,Emre Can,Khedira,Alves,Buffon)Team haikujaribu "hard enough" kumbakisha, ukisema umri angalia wakati Sanchez wakati anakuja alikua na umri gani na pesa ngapi anakula.
This team doesn't know what they want, there is a saying: "If you don't know where you are going, any way can lead you there".
hata kwa stats za mwaka huu hakuna beki ya United anaegusa moto wakeToby ni mzee..unazungumzua Stats za 2015-2016 wkt tupo 2019..bro hauko serious.
Thiago Silva,David Luiz,Koscielny,Pique,Chiellini,Bonucci,Ramos,Godin,Vertongen,Kompany hawa hakuna aliye chini ya miaka 32 lakini still hatuna mabeki waliowafikiaToby ni mzee..unazungumzua Stats za 2015-2016 wkt tupo 2019..bro hauko serious.
Thiago Silva,David Luiz,Koscielny,Pique,Chiellini,Bonucci,Ramos,Godin,Vertongen,Kompany hawa hakuna aliye chini ya miaka 32 lakini still hatuna mabeki waliowafikia
https://www.fourfourtwo.com/features/10-best-centre-backs-world
Kuanza au kutokuanza mapema haimfanyi mtu kufikia au kutokufikia potential yakeHata ajitume vipi hawezi kufikia robo ya uwezo wa cr7....
Kwa umri wa martial Cr7 alikuwa ameshafanya MAkubwa hapa duniani
Na katika wachezaji wote hao, Zlatani (34) ndiye aliyecheza kwa mafanikio kuliko woteHuwa sikuelewi kila tatizo la United unamuangushia Mourinho,alisajili wachezaji wafuatao na umri wao
Diego Dalot-19,Victor Lindelof-23,Paul Pogba-23,Eric Bailly- 24,Romelu Lukaku- 24,Fred-25,
Henrik Mkhitaryan-27,Nemanja Matic-29,Alexis Sanchez-29,Zlatan Ibrahimovic-35,Lee Grant-35
Kina Smalling,Jones walisajiliwa wakiwa chipukizi kabisa lakini ni miaka 10 now hakuna walichobadilika
Mourinho alimuuza Daley Blind ambaye alikuwa ameanza kuimarika vizuri sana kwenye EPL akamnunua Bailey ambaye amekuwa spanner mkononi.Na katika wachezaji wote hao, Zlatani (34) ndiye aliyecheza kwa mafanikio kuliko wote
Niliwaza solution kama hii.Mkuu kama Ole ana nia kweli ya kuondoa hizo takataka na Ed anazingua ni bora ajiuzulu kiroho safi tu..maana hakuna atakalolifanya..na hii itatusaidia kuprove kuwa tatizo kubwa ni Ed
Au wewe solution unaona ni ipi??