Huyu Pulisic toka akubali kwenda Chelsea benchi limekuwa lake kitambo sasa...
Acha tu mkuu.. yaani United sijui tunafeli wapi? ukigusa tu mchezaji bei yake hurudii tena kuuliza.Usemi wa mtima nyongo umeutoa wapi mkuu nimeuona huko juuwanikumbusha jkt
Pilisic, USA international...... Awe mbadala wa HazardSio kweli hata kama akiondoka kumbuka anakuja Christian Pulisic
Mkuu Man U kabla ya Saf ilikuwa timu kubwa pia, kulikuwa na busby babies na holy trinity (Bobby charlton, George best, denis law)Unajua Man Utd before SAF ilikuwa ni timu yenye mafanikio ya kawaida? Ninaposema before SAF ninamaanisha kabla ya mwaka 1986
Unaposema Man Utd ni business club na haiwezi kusubiri miaka 3, kwani mpaka sasa imeshakaa miaka mingapi bila EPL, miaka 6
Kuifananisha situation ya Man Utd na Real Madrid au Bayern ni kupotoka.
City, Chelsea, Liverpool na kiasi flani Arsenal, Everton, Spurs wana power ya kununua kama United. Je Utd ana uwezo wa kutaka mchezaji yoyote kwa Spurs, Everton, Arsenal n.k na kumnunua? haiwezekani. Pale Uingireza hadi timu inayopambana isishuke daraja inaweza kununua mchezaji kwa £30milion (kumbuka Benteke kwenda Cristal Palace)
Kwenye soko la usajili kule Spain, Madrid anasumbuliwa na Barca tu. Atletico, Valencia, Sevila hawana uwezo wa kununua kama hao wakubwa wawili. Ligi sio competitive kiasi hicho. Na Madrid au Barca wakimtaka mchezaji kutoka hizo timu za laliga (second class) lazima wamchukue, hawana jeuri ya kukataa.
Ujerumani hivyo hivyo, Bayern ndio baba lao. Dortmond, Leverkusen, Wolfborg, Schalkle n.k hawana uwezo wa kununua kama Bayern. Bayern anachukua mchezaji Dortmund (second biggest in German).
Kwahiyo kwa Spain na Ujerumani nguvu ya pesa inaweza kutumika ku maintain status ya club lakini si Uigerezs
Huyo sio mchezaji wa Dortmund ni wa Chelsea tulimrudisha akamalizie msimuPulisic huyu anaekaa bech Dortmund?
Mchezaji anasoteshwa bench na Overrated wa Kiengereza (Sancho) unataka kusema ataziba pengo la Hazard?
Tungelikwisha Mkuta katuwa Bayern
Sasa wewe unafikiri kilichowakosesha ubingwa niniPulisic huyu anaekaa bech Dortmund?
Mchezaji anasoteshwa bench na Overrated wa Kiengereza (Sancho) unataka kusema ataziba pengo la Hazard?
Tungelikwisha Mkuta katuwa Bayern
Alonso anakupa kushambulia, anakupa kuzuia japo kwenye kuzuia ameshuka kidogoUkiambiwa uchague Luke Shaw na Alonso unachagua yupi
Sioni msoto kabisaHiyo mara ngapi unalinganisha na Full season bila Eden??.. Tena mmefungiwa usajili .!
Chelsea ni kubwa kuliko Hazard sawa.. ila lazima Mtapitia msoto.
Ndio maana nikamtaja pulisic, japo hamfikii hazard kiuwezo lakini hata mbuyu ulianza kama mchichaHa ha ha ha hamuwezi kufanya long run na mkafanikiwa bila yule kijana. Labda aondoke halafu mtengeneze mfumo mwingine wachezaji waelewane ndipo mrudi mstarini. Kwa hyo akiondoka tegemeeni kuyumba kwa msimu mmoja au miwili mbele kabla hamjarudi mstarini. Tunza hii comment na ikitokea nimesahau unikumbushe pale yatapowakuta
Hazard pekee ataondoka, kumbuka tuna ban ya usajili wa vipindi viwili, kama rufaa yetu CAS ikigomewa basi haondoki MTU zaidi ya hazardSio Pulisic tu hata Zouma anarudi... Giroud+ Hazard wanasepa mbaki na Higuain+ Odoi.
Tuombe uzima
Hii ni ya pili anachukuaUnajua Hazard anachukua mchezaji bora pale Chelsea mara ya ngapi hii mfululizo.!??
Tafsiri yake ni yeye tu wengine ni wachimba dawa.
Kumbuka hazard amekuja akitoka lile kiwango chake hakikuwa na tofauti na pulisicPilisic, USA international...... Awe mbadala wa Hazard
Duh mkuu, Hazard amekuja Chelsea United na City wanamtolea MachoKumbuka hazard amekuja akitoka lile kiwango chake hakikuwa na tofauti na pulisic
Hazard amekuza kiwango chake zaidi akiwa na Chelsea
Ni kweli .. muda utasema labda asiondoke.Sioni msoto kabisa
Chelsea haimtegemei mchezaji mmoja kama barcelona
Sikatai juu ya uwezo wake, lakini ni Mara ngapi hukaa benchi na team inashinda
Nimeanza kuifuatilia na kuwa mshabiki 2008-2009 toka hicho kipind mpaka sasa mchezaji ninaye mkubali sana kuwahi kuchezea Man United ni Herrera .Your best player of all time duuh!! Sorry kwa kuuliza mkuu umeanza kuwa shabiki wa Utd toka lini?
He is talented, passion yake kwa time pia anakaba vizuri sana anakupa uwakika wa udhibiti wa mchezaji iwapo amekabidhiwa amkabe.Your best player of all time ni herrera??!!!..what so special about him??
Totally joke!Pilisic, USA international...... Awe mbadala wa Hazard
Sioni msoto kabisa
Chelsea haimtegemei mchezaji mmoja kama barcelona
Hazard ashaonyesha uajabu na utofauti Mkubwa toka yupo lile. Ferg mwenyewe alimpigania sana ila Chelsea wakawin battle. Na sababu mojawapo ya ferg kumuacha ni kutokana na demand ya hazard alitaka timu itayompa uburu sana Wa kucheza namba kumi kuliko winga na jezi alisema angependelea sana kuvaa #10 kitu ambacho kisingewezekana kwa Man U sababu jezi no 10 alikuwa nayo Rooney na namba kumi alimuwa akicheza Rooney pia na alikuwa moto fire balaa a. k.a baba mwenye nyumba.Kumbuka hazard amekuja akitoka lile kiwango chake hakikuwa na tofauti na pulisic
Hazard amekuza kiwango chake zaidi akiwa na Chelsea