Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Pole kunywa maji baba
 
Haya maneno nimeshindwa kuamini kama ni Mourinho mwenyewe. Kweli kiburi na majivuno vina mwisho. Amerudi kuwa mdogo, mwanafunzi, na anakiri wazi kuwa yeye ni school boy kwa pep na clop! Maajabu haya.
Itakuwa hujaelewa vizuri alikiimanisha hapo. Mourinho ni jeuri, hapo kapiga jungu + kusimamia mtizamo wake wa siku zote.
 
Acha tu ndugu
 
Pamoja na kwamba washabiki wengi pale Manchester unakuta wameshakata seasonal tickets, Kuna kipindi tunapokuwa na timu kama hii wangegoma kuingia uwanjani ili kushinikiza bodi ibadilike na kununua wachezaji wenye hadhi ya kuchezea Man U. Lingewezekana hilo basi Glazer's family na yule mbwa Ed Woodward wangenyooka na wangejua machungu walonayo mashabiki. Shida ndo hivo michezaji inazingua balaa na haibadiliki na bado washabiki wanawasapoti kishenzi.
 
Pole sana brother umeongea kwa uchungu sana,lakini hamna namna haya ndiyo maisha ya soka lolote linaweza tokea,tulikuwa tumeisahau futui sasa tunarudi tena huko huko kuungana na malafiki zetu Asernal.
We acha tu kinachoendelea man u kinatuumiza Sana wengi lakini ndio hivyo tena naona inabidi tuzoee tu maana miaka inakatika hivyo na hakuna matumaini kwamba Hali hii itaisha hivi karibuni.
 
Hizi mechi za alhamis kwa Man U hii nitaanza kuitazama Man U endapo wataingia nusu fainali na kuendelea. Labda kama watanunua wachezaji wazuri na Wa kutosha hapo watanishawishi
Mchezaji gani mzuri umnunue ukamchezeshe europa?
 
Pole sana Chifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…