Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Kwani kuna Timu gani duniani iliyowahi kubeba ubingwa bila ya kutaka wengine Wafungwe?

Inawezekana 2010 ulikuwa Shule ya Msingi but waulize Wakubwa Zako ilikuwaje katika ya Man U na Chelsea kwenye kuwania ubingwa?
 
Pogba ni mchezaji wa kawaida sana mkuu.

Kuna watu watauliza mbona kwenye timu ya taifa anapata namba,huko kwenyewe kazi kubwa huwa inapigwa na Kante.
 
Pogba ni mchezaji wa kawaida sana mkuu.

Kuna watu watauliza mbona kwenye timu ya taifa anapata namba,huko kwenyewe kazi kubwa huwa inapigwa na Kante.
Gunia la sukari lile Pogba! Anacheza mpira kupata sifa.

Ili Ole afanikiwe pale basi yule atoke na wenzake.

Alisingizia kiwa Mou ndio tatizo lakini inajidhihirisha kiwa yeye ndio tatizo, izo mechi saba zilizopita hana impact ata moja.
 
Pogba ni mchezaji wa kawaida sana mkuu.

Kuna watu watauliza mbona kwenye timu ya taifa anapata namba,huko kwenyewe kazi kubwa huwa inapigwa na Kante.

Kwa hilo I beg to differ!
Pogba akipata the right players around him anang’ara
Nilimwona World Cup alivyokimbiza
 
Miaka 7 hatujabeba EPL na UCL ila kimapato tunawakimbiza waliobeba.

Kwasababu Bado Munaendelea na Mikataba Minono iliyokuepo awali.

Subiri Hao kina Nike wamalize Mikataba ufike muda wa Kurenew halafu hamuchezi CL ndiyo utaona mziki wake.

Man United alikuwa Bingwa wa Kuuza Jezi, lakini unadhani Jezi ya Kina Rice na Sancho itauzwa kama ya Pogba?
 
Ujinga ni nini?

Ujinga ni pale Man u wanapoamua kumuachia City 3 points kwa makusudi ilimradi tu Liverpool isichukue ubingwa, mwisho wa siku Man City anakuja kudraw na leicester, Liverpool anatwaa ubingwa huku Man U akirudi Europa😂😂.
 

Uko sahihi lakini hiyo ina mwisho wake. Usiposhinda vikombe na ukawa nje ya UCL miaka nenda miaka rudi ultimately your fan base will be eroded and shrink. Waulize Liverpool au AC Milan
 
Kwani kuna Timu gani duniani iliyowahi kubeba ubingwa bila ya kutaka wengine Wafungwe?
Inawezekana 2010 ulikuwa Shule ya Msingi but waulize Wakubwa Zako ilikuwaje katika ya Man U na Chelsea kwenye kuwania ubingwa?
mara nyingi ukishashindwa kupinga hoja kwa hoja hii ndo inakuwaga turning point yako.

kila timu ishinde mechi zake
 
mara nyingi ukishashindwa kupinga hoja kwa hoja hii ndo inakuwaga turning point yako.

kila timu ishinde mechi zake

But the guy has a point
Kuna many occasions ManU walishinda/walipoteza ubingwa kwa kutegemea matokeo ya mechi za timu nyingine tena siku ya mwisho wa ligi
Mfano ni 2012 kama Aguero asingepata like bao basi United angetawazwa bingwa
 
Pogba ni mchezaji wa kawaida sana mkuu.
Kuna watu watauliza mbona kwenye timu ya taifa anapata namba,huko kwenyewe kazi kubwa huwa inapigwa na Kante.
Pogba ni wa kawaida sababu yupo timu ya kawaida
Pogba wa Juventus nyuma yake alikuwa alikuwa Pirlo na Vidal.

Pogba wa France chini ana Kante na Matuidi.

Pogba wa Man United chini ana Matic na Herrera tena Matic yule anaemkaba kwa macho Sigurdson anapiga shuti linazaa goli
then unatarajia mambo yatakuwa the same??

huyo Tom Cleverly unaesema wewe ni bora kwa sasa yupo Watford anakula mkeka tu ila kama angekuwa United angekuwa regular starter, simple and clear sababu United ni timu ya kawaida na mchezaji ni wa kawaida.
 
But the guy has a point
Kuna many occasions ManU walishinda/walipoteza ubingwa kwa kutegemea matokeo ya mechi za timu nyingine tena siku ya mwisho wa ligi
Mfano ni 2012 kama Aguero asingepata like bao basi United angetawazwa bingwa

Pia alisahau kuwa Mwaka 2010 Man United ilimkalia Kidedea Liverpool amfunge Chelsea ili Wao Wabebe Ubingwa Hatimae Liverpool Akampa ushindi Chelsea wa goli mbili Anfield huku Gerrard akishangiria ushindi huo.
 
But the guy has a point
Kuna many occasions ManU walishinda/walipoteza ubingwa kwa kutegemea matokeo ya mechi za timu nyingine tena siku ya mwisho wa ligi
Mfano ni 2012 kama Aguero asingepata like bao basi United angetawazwa bingwa
lakini United alishinda yake kwanza, pili, Liverpool mjilaumu wenyewe katika hili sio kutegemea fulani afungwe ili nyie mpate afueni, sababu mliongoza kwa points nyingi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…