Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kale kajamaa sikapendi kila sku kutembeleaa nyuz zake kama kalia umbea leo kimepigwa
Ila pole manyuu ndo mpira huo hao jama walitupga mbili bada ya alhms fever
 
Ukijifanya kiherehere lazima uhaimbike.

Cheki Kama ARROON wa Arsenal. Yeye Kila mahali Ni kupiga kambi na shobo za ajabu ajabu mwishoe anabaki kimya
Hahahahah alikuwa anatamba kuwa yeye ana fixture nyepesi ..naona sasa inaenda kuwa ngumu ..tena ile ngumu kumezaaa hahahahahaha
 
Sijengi Picha Mourinho sijui Anajisikiaje huko aliko.

Katika Jambo Man United watakalolijutia ni Kumpa Mkataba OGS
Sidhani kama tatizo ni ogs. Tatizo ni wachezaji.
Hili ndio muo alilipigia kelele toka mwanzoni. Lakin hawakusikia. Wale wachezaji ni so average. Man u class players.. ni pogba na digea ..wengine hovyo.

Hata aje kocha kutoka mbinguni. Wka wachezaji hawa. Timu itafungwa tu
 
Japokuwa nimefungwa inabidi niwacheke tu.....4!!!!!!!! πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…