Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Umekuwa na upendo na kujali kwa ghafla!
Bila Manchester United imara hakuna Liverpool imara.
Hebu fikiria kina AROON wa Arsenal wanavyotupigia kelele! Komaeni turudi kwenye ushindani.
Umekuwa na upendo na kujali kwa ghafla!
Amen aseee!la liver kukosa ubingwa litokee
Tunawaachia tuAisee, mnakubali vipi kupigwa OT!
Unanifurahisha aseee
Bora tupotee wote tu united na liver
Tunawaachia tu
Hahahah dah!Sisi tumeshafufuka, tukikosa EPL tuna UEFA, tunahitaji uwepo wenu, maana shangwe ya North West Derby huwa inanoga sote tukiwa kwenye peak.
Halafu sasa inabidi tukutane UEFA, mfano mwaka huu mngekuwa vizuri kumtoa Barca, ingekuwa burdani sana.
Jitahidini aisee.
Hahahah dah!
Umeona sasa, hapo inabidi mshinde au siyo.
Bado msimamo uko kwa man shit washinde
Kama nilivyoandika huko juu...chuki kwa liver imezidi upendo kwa united
Kesho mkishinda itawapa confidence zaidi, hao Everton ni majirani zangu wasumbufu sumbufu sana, ila nitawaombea ushindi.
Baada ya hapo mtajitathmini kuhusu Jumatano.
Unavyoandika naimagine uko unaongea!
Mechi ya kesho tu tunaweza kufungwa!kiufupi hakuna jipya united ni vile tu nimeamua kustay loyal na team yangu
Kuhusu jumatano tutake tusitake tunafungwa...inauma ila ni ukweli kwamba tuko hovyo
Hivi ni sababu gani ya msingi inakufanya uwaite Man shit badala ya Man City??Bado msimamo uko kwa man shit washinde
Kama nilivyoandika huko juu...chuki kwa liver imezidi upendo kwa united
Inategemea unacompete na naniNaelewa, hata mimi natumaini ya ninyi kumsimamisha City siyaoni.
Ila competitions za watani huwa zina mambo usiyoyatarajia. Hilo ndilo pekee nategemea, mlinde pride ya OT.
Inategemea unacompete na nani
Tusubiri hiyo Jumatano tuone tunafungwa ngapi basi
Kimsingi hakuna sababu za msingi zaidi ya mazoeaHvi ni sababu gani ya msingi inakufanya uwaite Man shit badala ya Man City??
Lakini ni kuwakosea wengine heshima..Kimsingi hakuna sababu za msingi zaidi ya mazoea
Ni kama liver fool
Lakini ni kuwakosea wengine heshima..
#Respect,#FairPlay ndo nguzo za mpira
Anyway,,sawa mkuu
Mechi na Man City tutatafuta ushindi, najua siyo njia yenu Liverpool kuchukua ndoo kwani kesho mnakufa kwa Cardiff City. Cardiff amegoma kushuka daraja.joanah hivi unajua umuhimu wa ninyi kucheza UEFA?
Kama hamchezi UEFA hata wachezaji wazuri hawatakubali kusajiliwa hapo, na hao mlionao watatafuta pa kwenda.
Jitahidini aisee.