Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu mi Man U, ila nlijua tunapigwa hata sikujisumbua kwenda vibanda umiza, kwa beki young hata big four tukiingia bahati sana,, kama tungepangwa na Ajax basi ingekuwa goli nyingi,,

Tukubali tu man hatuna beki,

Nimeamia AJAX Kujipoza machungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Martial ulimuona muda gani?

Manyumbu nzima alieonekana ni De Gea tu! Tena wakati anakojolewa hizo bao 3.

Pogba mpira ukamshinda akaanza kucheza kareti, mara anajitafutisha red ili atolewe Manyumbu yaanze kusema angekuepo Pogba tungeshinda
Pogba sio saizi ya utatu mtakatifu wa Barca pale kati hadi dogo Arthur ni Bora kuliko pogba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutokana na gundu ulilotoka nalo man u hata Ajax hapo ndyo mwisho wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mictomnay si mlikuwa mnamfananisha na gatuso nyie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Defence ni ya kununua mpya. Kama man city walivyofanya. Wakaondoa wote. Sahiz wana defence mpya kabisa angalia walipofika.
Na si defence tu... attacking hamna kabisa. Man u haina winga.. haina namba tisa.. namba 10..
Nusu ya timu ni ya kufukuza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja kati ya watu wa ajabu kwenda Man U ni Paul Pogba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…