CalvinPower
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 1,675
- 1,060
Unaongelea Mancity ipi? Ile iliyompiga chelsea 6? Mlitamali sana chelsea ashinde na jezi zao mkavaa halafu mkashundwa kushangilia hata goli moja, wewe shabikia tu timu yako liverpool achana na hizi timu zilizokosa mwelekeo. Utaaibika.Ma devil kwa heshima na taadhima napita kwenye uzi wenu,siku mtakayocheza na man city nitawapa sapoti kwa % zote siku hiyo,yan nitakua radhi hata kuvaa jezi ya mashetani ili mradi tu mumfunge huyo jirani yenu man c,kila la heri mashetani,yes u can
Anyway I wish you a happy landing.