Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hata kipaji so kivile. Mtu mwenye kipaji pekee na ni mvivu pale OT ni Paulo. Hakuna kiungo duniani level ya Pogba. Tatizo ni mvivu na nyodo nyingi

Sent using Jamii Forums mobile app
huo uvivu wa pogba anakuwa nao Man Utd tu? Akiwa ufaransa inakuwaje?huyo jamaa anacheza na watu sio level yake akiwa France anacheza na N'golo,Blaise level ya dunia, akiwa man u Herrera na matic level ya epl ndio maana Pogba anaonekana mvivu. Lijamaa linajua sana
 
Marital is boring watching playing toto dogo vivu kama nini

Watu wanashindwa kutofautisha kati ya kipaji na jinsi ya kutumia kipaji chake

Martial ameshindwa kuconvert kipaji chake kuja kwenye uhalisia

It seems dogo anapenda ngono sana kwssababu sex inamaliza sana nguvu

God first
anatumia sana hard work, watu hawajui tu, sema ana talent kubwa inayozidi hard work yake isonekane nje, muangalie messi anapokimbia na mpira, hata ukimsukuma haanguki hovyo, anajichimbia, anawahi sana eneo la hatari, anakimbia sana uwanjani kumkimbia adui,
Hard work sio lazima upige mashuti kama ronaldo wa zamani, hapana, hardwork ni kuwa na workrate kubwa uwanjani,
Muangalie martial, akiguswa kaanguka, messi anaanguka ovyo kama martial?? unadhani kati ya messi na martial nani huwa anapewa kashkashi mara nyingi kuliko mwingine??
Muangalie hazard, ana talent, na ana workrate kubwa akipewa mpira, haumuangushi hovyo hazard, anakimbia sana, anacheza all round the pitch, messi pia anashuka hadi chini anacheza, huwezi kuwa na workrate ndogo ukamudu kucheza uwanja mzima,
Martial anajimegea kaeneo kake ka kucheza, tafuta heatmap za martial kwenye squawka, utaona,
Hardwork inahitaji mapafu pia, ni lazima ufanye tizi ili ufungue mapafu zaidi, mtafute mtu mmoja alikua anaitwa scott parker, roho ya mbwa, alikua anachafua dakika tisini zote utasema ndo kaingia, au juan roman riquelme,
Unamuona cr7, sasa hivi hakimbii sana, mara nyingi yeye yupo kwenye box tu, sababu kapunguza workrate yake, ameamua aconcetrate kwenye goli tu, hawezi tena kumudu kukimbizana na mabeki kwenye winga, au kupiga mbali kama zamani, akimbie na mipira kutokea kati, aende pembeni, arudi kati afunge,
Messi anachowazid wachezaji wengi ni talent, na akili, magoli mengi ya messi hudhanii kama atafunga namna anavyofunga, he is super quick, na akiingia kwenye box anaingia kama umeme, hata ukimuangusha unaweza kuta ameshanyanyuka anaenda tena kufunga wakat wewe bado umelala chini ukijua refa ataweka faulo,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waliosafiri kuelekea Spain
Screenshot_2019-04-15-12-35-28.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
dawa ya wachezaji kama hao, wana uwezo afu hawajitumi, si kashaongeza mkataba mrefu miaka mitano jana tu apo, sasa unamsajilia kiberenge cha hatari kwenye namba yake, asioijituma anaozea mkeka na haumuuzi, atajituma tuuu,
Siku hizi ni rahisi sana kuwa mchezaji bora ulaya, wachezaji bora ni wachache na wa kawaida sana, ukijituma tu kidogo unaanza kuhusishwa na ballon d'or,
Huyu rashford japokua kwa sasa anatuumiza sana kwa utoto wake, lakini kwa workrate yake, atakuja kuwa mchezaji bora sana ulaya,
Hana kipaji kikubwa, ni cha kawaida tu, lakini when talent does not work hard enough, hard work can be better than talent,
Huyu rashford akija kulijua goli vizuri, akija kujua positioning vizuri, anaenda kuwa the best striker katika generation yake, ananiudhi kweli kwa sasa, lakini ana future nzuri sababu anajituma kupita kiasi, ni kipaji tu hana ambalo sio kosa lake,
Muangalieni rashford wa van gaal, na huyu wa sasa, amejengeka misuli haraka sana, anamudu sasa kucheza na mabeki wagumu wenye mabavu kidogo kidogo japo bado inamsumbua,
Huyu rashford anaitafuta ballon d'or, na anaweza akaipata siku moja, kuliko talented martial, ambae hataki kutoa extra ya uwezo wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli kila Kocha ana Ndoto hizo kwa Timu Yake lakini Je (Owner & Sporting director) Watampa Mamilioni ya £ kuwanunua hao? Au ataishia kama Mourinho kumtaka Griezman akapewa Sanchez?

Na je timu zinazowamiliki hao wachezaji zitakuwa tayari kuwauzia?
Kauli kama hiyo niliitamani muda mrefu. Watu wapiganie namba! Sasa huu ni mwanzo tu na nadhani tuwe wavumilivu sababu ni wazi uongozi unampa ushirikiano sana OSG.

Binafsi nasubiri kuona atafanya nini dirisha hili.
 
Tukiendelea kutukuza uingereza uingereza timu hii itapoteana sana. Kwanza waingereza hawana vipaji vikubwa kama wanavyonadiwa na media. Ukaribu Wa Ole na Mzee ferg Labda yaweza kuwa ni msingi Wa ole kutaka kutukuza na kukumbatia waingereza mana huyu Mzee nae alikuwa hivyo
Lingard. Young. Jones. Smalling. Rashford.

Hawana vipaji vya kushtusha. Natamani tuachane na hawa wachezaji sema basi tu.

Atleast Rooney, Beckham, Owen walikuwa na vipaji na wapambanaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
anatumia sana hard work, watu hawajui tu, sema ana talent kubwa inayozidi hard work yake isonekane nje, muangalie messi anapokimbia na mpira, hata ukimsukuma haanguki hovyo, anajichimbia, anawahi sana eneo la hatari, anakimbia sana uwanjani kumkimbia adui,
Hard work sio lazima upige mashuti kama ronaldo wa zamani, hapana, hardwork ni kuwa na workrate kubwa uwanjani,
Muangalie martial, akiguswa kaanguka, messi anaanguka ovyo kama martial?? unadhani kati ya messi na martial nani huwa anapewa kashkashi mara nyingi kuliko mwingine??
Muangalie hazard, ana talent, na ana workrate kubwa akipewa mpira, haumuangushi hovyo hazard, anakimbia sana, anacheza all round the pitch, messi pia anashuka hadi chini anacheza, huwezi kuwa na workrate ndogo ukamudu kucheza uwanja mzima,
Martial anajimegea kaeneo kake ka kucheza, tafuta heatmap za martial kwenye squawka, utaona,
Hardwork inahitaji mapafu pia, ni lazima ufanye tizi ili ufungue mapafu zaidi, mtafute mtu mmoja alikua anaitwa scott parker, roho ya mbwa, alikua anachafua dakika tisini zote utasema ndo kaingia, au juan roman riquelme,
Unamuona cr7, sasa hivi hakimbii sana, mara nyingi yeye yupo kwenye box tu, sababu kapunguza workrate yake, ameamua aconcetrate kwenye goli tu, hawezi tena kumudu kukimbizana na mabeki kwenye winga, au kupiga mbali kama zamani, akimbie na mipira kutokea kati, aende pembeni, arudi kati afunge,
Messi anachowazid wachezaji wengi ni talent, na akili, magoli mengi ya messi hudhanii kama atafunga namna anavyofunga, he is super quick, na akiingia kwenye box anaingia kama umeme, hata ukimuangusha unaweza kuta ameshanyanyuka anaenda tena kufunga wakat wewe bado umelala chini ukijua refa ataweka faulo,

Sent using Jamii Forums mobile app
Good point.

Sometimes you don't need talent.

You need hardworking players with higher work rate.

Same as Wayne Rooney.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ma devil kwa heshima na taadhima napita kwenye uzi wenu,siku mtakayocheza na man city nitawapa sapoti kwa % zote siku hiyo,yan nitakua radhi hata kuvaa jezi ya mashetani ili mradi tu mumfunge huyo jirani yenu man c,kila la heri mashetani,yes u can
 
Good point.

Sometimes you don't need talent.

You need hardworking players with higher work rate.

Same as Wayne Rooney.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Rooney was talented like hell...he was a complete monster sema tu alijitolea kuwanchini ya Ronaldo maana alitengene, a goals nyingi za Ronaldo......huyu martial mvivu kuna sku nilisema bora tuweke accademy players watu wakaniona punguani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
matokeo yoyote ya kesho hayatonishangaza na wala sitaumia sana..... Hii team unaingia kwenye dirisha la usajili ambalo ni muhimu kuliko madirisha yote yaliyopita... Ambayo tumeonesha udhaifu mkubwa.... Kila mchezaji tuliemsajili alikwamam sehemu......Tulisajili Mick, Di Maria, Zlatan, falcao, Mata, Herrera, Romero, valdes, na wengine wengi tu......

This inaonesha timu haihitaji high profile players maana Di Maria alifeli na falcao pia.... This summer naimani tunahitaji wachezaji watano Kati ya hawa watu.....

kwenye namba 2 Bissaka au cancelo ingawa Bissaka ni cheaper......kwenye namba 5 Milenkovic wa Fiorentina,koulibaly,Skiniar hpa mm napendekeza Skiniar ukizingatia Miaka yake 24 ni midogo..... Kwenye midfielder tunahitaji watu 2 pale ukizingatia Herrera na Mata wanaweza kuondoka Rabiot, Ndombele, Bruno fernandes, Aouar,Saul hpa Binafsi ningetembea na rabiot na ndombele kama ukiongeza na Bruno fernandes yupo vzuri..... Kwenye right wing tunahitaji Sancho au Hirving Lozano (Sancho atatusaidia mauzo ya jezi kama anavyotaka beans Ed) hpa nngependekeza Lozano ukizingatia bei yake kuwa ndogo kuliko Sancho, kwenye namba 9 kuna habari Barça wameachana na mpango wa kumsajili Jovic kitoka Frankfurt Natamani tumsajili huyu jamaa hatazidi hata paun mil 60.....

chukua Bissaka paun 40, Lozano paun 40,Skiniar paun mil 60,chukua rabioti na ndombele pauni 55, paun kwahesabu uchwara itatucost cost paun mil195 Hela ya darmian ongeza hapo inakuwa paun mil 15 hv then ongeza 50 tunavuta Jovic....then Next season tunakuwa mabingwa.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingelipendeza Zaidi Kama ungeliandika Waliosafiri Kwenda Kuangamia Spain
UEFA bhana ,yaani toka wanapanga droo walishajiwekea nusu fainal ni barca na liver,

Ukiwajua UEFA wala husumbuki, hii mechi ya liver na barca wanaitaka sana kunogesha michuoano

Yohana 3:16
 
anatumia sana hard work, watu hawajui tu, sema ana talent kubwa inayozidi hard work yake isonekane nje, muangalie messi anapokimbia na mpira, hata ukimsukuma haanguki hovyo, anajichimbia, anawahi sana eneo la hatari, anakimbia sana uwanjani kumkimbia adui,
Hard work sio lazima upige mashuti kama ronaldo wa zamani, hapana, hardwork ni kuwa na workrate kubwa uwanjani,
Muangalie martial, akiguswa kaanguka, messi anaanguka ovyo kama martial?? unadhani kati ya messi na martial nani huwa anapewa kashkashi mara nyingi kuliko mwingine??
Muangalie hazard, ana talent, na ana workrate kubwa akipewa mpira, haumuangushi hovyo hazard, anakimbia sana, anacheza all round the pitch, messi pia anashuka hadi chini anacheza, huwezi kuwa na workrate ndogo ukamudu kucheza uwanja mzima,
Martial anajimegea kaeneo kake ka kucheza, tafuta heatmap za martial kwenye squawka, utaona,
Hardwork inahitaji mapafu pia, ni lazima ufanye tizi ili ufungue mapafu zaidi, mtafute mtu mmoja alikua anaitwa scott parker, roho ya mbwa, alikua anachafua dakika tisini zote utasema ndo kaingia, au juan roman riquelme,
Unamuona cr7, sasa hivi hakimbii sana, mara nyingi yeye yupo kwenye box tu, sababu kapunguza workrate yake, ameamua aconcetrate kwenye goli tu, hawezi tena kumudu kukimbizana na mabeki kwenye winga, au kupiga mbali kama zamani, akimbie na mipira kutokea kati, aende pembeni, arudi kati afunge,
Messi anachowazid wachezaji wengi ni talent, na akili, magoli mengi ya messi hudhanii kama atafunga namna anavyofunga, he is super quick, na akiingia kwenye box anaingia kama umeme, hata ukimuangusha unaweza kuta ameshanyanyuka anaenda tena kufunga wakat wewe bado umelala chini ukijua refa ataweka faulo,

Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi nimetoka kapa kabisa hapo pa anatumia hardwork nk nk.

Anyway kilochonileta ni kuja kuwakumbusha umuhimu wa mechi yenu na City kama kweli mnaitaka top4.

Arsenal anaongoza huko.
 
Back
Top Bottom