Penison
JF-Expert Member
- Nov 4, 2017
- 6,372
- 12,529
Nazisubiri mkuuSio hasira, rejea kauli yako ya kuniita uchwara Mkuu
I'm humble, but not to disrespectful people
Article zitaendelea kuja tu, stay tuned
Sent using Jamii Forums mobile app
Nazisubiri mkuuSio hasira, rejea kauli yako ya kuniita uchwara Mkuu
I'm humble, but not to disrespectful people
Article zitaendelea kuja tu, stay tuned
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ndio mafanikio ya timu? Kweli nyumbu mmeishiwa hadi mnajivunia viewers? Timu ambayo ukitaka kuelezea mara ya mwisho kuchukua Epl unaanza na "Hapo zamani za kale" haaaaaaa
Mafanikio yapi hayo unayozungumzia wewe? Hayo ya kufikisha viewers 3m kwenye social network? Una misimu mingapi Epl hujanyanyua kwapa?Baadhi ya watu mkiwa na mkazo katika maisha yenu mnapenda sana kukurupuka.
Ajabu sasa ukute wewe ni shabiki wa Chelsea unajaribu kuzungumzia kitu kinachoitwa 'mafanikio ya timu' mbele ya mashabiki wa MUFC.
hahahahaha hahahahahaaaaaaHao sio Mbweha, unawashusha kiwango, wanaitwa "Mbwa Mwitu" au "Wolves" kwa lughja ya kule kwao. Wanatoka kwenye mji wa Wolverhampton wenye Mbwa Mwitu wengi na ndio maana Man United walikuwa waoga wasije wakang'atwa na Mbwa
Mafanikio yapi hayo unayozungumzia wewe? Hayo ya kufikisha viewers 3m kwenye social network? Una misimu mingapi Epl hujanyanyua kwapa?
mkuu tumekuja kutoa pole kwa niaba ya mashabiki wote wa Wolves, haiwekani washinde mara mbili kwenye uwanja ule ule, ivyo tunaomba mtusamehe sana hahahahanyie mijitu ya chelshit na arse-anal mnaviherehere!harusi haiwahusu na wala hamkualikwa lakini nyie ndio wapiga vigelegele unafki tu umewajaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi kabisa Liverpool ndio level zenu maana na yeye ana miongo mitatu sasa(30 yrs) hajachukua ligi. Muende mkajadiliane sasa namna ya kukwepa hii fedhehaMkuu,kama ungekuwa shabiki wa Liverpool tungeweza kujadiliana kuhusu mafanikio ya timu.
Lakini kwakuwa wewe sio shabiki wa Liverpool, nakuomba pumzika,futa kamasi zako ukabishane kuhusu mafanikio na mashabiki wa timu za size yako.
Lakini pia ungekuwa shabiki mwenye uelewa kama walivyo baadhi yao hapa ungetambua kwamba kuna tambo za mashabiki na mafanikio ya timu.
Aha nmeshukuru sana uwepo wako mkuu ..pole sana sisi fans tumeumia sana dah! Na ukicheki juzi tu Ole kasaini mkataba.Mkuu mimi nipo, wewe ndio huwa unakimbiaga ukipigwa
Juzi refa amekubeba umejiona na wewe una timu
Sent using Jamii Forums mobile app
Aha nmeshukuru sana uwepo wako mkuu ..pole sana sisi fans tumeumia sana dah! Na ukicheki juzi tu Ole kasaini mkataba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana mou alimsajili ibra kwasbabu alijua tu kwamba hivi vitoto vyakina lingard, rashford vinakuwa serious kwenye mechi chache tu. Ngoja tumsubiri ole atakapo fanya usajili na kuuza baadhi ya watuLingard,young,smalling,jones,scot hawafai kuwa wachezaji wa manchester utd
Sent from my SM-G928C using Tapatalk
Game ya city Kwa mpira huu tutapigwa ata 8Wakuu poleni na matokeo haya, bado niko na ninyi kuhakikisha kwamba haya matokeo yanawauma hivyo mcheze kufa kupona dhidi ya City.
Hao wote hata team ya WATUMISHI FC NGUDU hawapati nambaLingard,young,smalling,jones,scot hawafai kuwa wachezaji wa manchester utd
Sent from my SM-G928C using Tapatalk
Umwiba wake umemsaidia nn?huyu Mnaigeria jana alikuwa mwiba kwa Barcelona anaitwa Samwel Chukwueza miaka 19
View attachment 1061777
duh naomba kaingalie hiyo game ndio utajua kilichoisaidia timuUmwiba wake umemsaidia nn?

