Jay Gatsby
JF-Expert Member
- Jul 28, 2017
- 697
- 928
πππππ naongoza ligi ,Uefa mpaka sasa ni kama nipo semifinal......... wewe hiyo timu yako kama kikundi chako wapika gongo wa yombo vituka mnajipya gani?? Wagalatia nyie
Mchezaji mzito kama kiroba cha chumviLukaku Makaptula awekwe sokoni tumpate DYABALA au WERNER
Mmh mkuu Damushin, hayo maneno ya OLE hapo mwisho, nazani kuna neno "hopefull".anaposema atawapata kabla ya pre season ina maana ana uhakika jambo ambalo si kweli kwa kuangalia rekodi za sajili tulizofanya miaka iliopita na hii ndio hoja yangu.
haya ndio maneno aliyoyazungumza OGS.
Weβve already talked to some agents, I want players before preseason, no complacency, everyone needs to be fit.β
ahsante sana nimepitia BBC nimeisoma taarifa .Mmh mkuu Damushin, hayo maneno ya OLE hapo mwisho, nazani kuna neno "hopefull".
Kivyovyote vile hoja yako ina mashiko, kwani ni nani asiyemjua ED woodward. Record yake ndio inatupa mashaka.hususani swala la phil jones.
At the same time hoja ya Nokia83 nayo inaweza kuwa kweli, maybe kuna vitu vinaendelea background.
Sent using simu mbovu
Eti wapika gongo wa Yombo vituka dahπππππ naongoza ligi ,Uefa mpaka sasa ni kama nipo semifinal......... wewe hiyo timu yako kama kikundi chako wapika gongo wa yombo vituka mnajipya gani?? Wagalatia nyie
Jiandae mapema kwa miaka mingine ya Tabu na Mateso ............Na washauri ndugu zako walio karibu na Wewe waweke mbali vitu vyote vyenye ncha Kali Kisu, Panga, Sime, la sivyo watakupoteza.Mashabiki wa Liverpool bwana utawajua tu sasa kwani kuongoza ndo kushinda? mpira unachezwa uwanjan sio mezani,sasa kama hatuna jipya mbna unajishobokesha huku?
Tumeshashuhudia dirisha moja tayari likipita na huyo kocha wenu akisema anafuraha na kikosi alichonacho.
Don't expect anything new other than Phil jones and Rashbeck to sign their new contracts.
We ulikuwa utaka apewe kocha gani mkuu?
Wanaweza kusajili mchezaji kutoka kokote ila wasilete mbrazilnisivyowapenda wachezaji wa kiingereza kila ninaposikia tetesi za maguire hutamani niwe CEO wa man utd kama jamaa yule anavyotamani malaika wa mitandao ateremke.
licha ya kuwa umtiti ana rekodi ya kupata majeruhi kwangu mimi namuona ni bora kuliko maguire na varane
Tusishangae tukapata mshangazo wa Patrice Evra kupewa hiki kiti, sidhani kama ile kuonekana na ed woodward kila game wako pamoja ilikua ni kwa ajili ya kuangalia mpira tuu, nadhani Evra kuna nafasi anatafutiwa pale OT, na huenda ikawa ndio hii,nilichowapendea manchester city ni ule mpango wao wa kumtafuta DOF anayeendana na mikakati yao ya baadae kisoka, hata alipokuja josep guardiola ilikuwa ni rahisi zaidi kwa soriano na kocha mkuu kufanya kazi kwa pamoja kwa sababu kwanza wanafahamiana tokea catalunya.
pale chelsea tulishawahi kushuhudia mgogoro mkubwa wa kimaslahi kati ya jose mourinho na DOF.
real madrid tulishawahi kushuhudia mgogoro kati ya jose mourinho na DOF aliyekuwa anaitwa jorge valdano.
mara nyingi tumeona DOF anapoletwa mwanzo ndani ya klabu anataka awe ndio ubongo wa kocha mkuu kama ilivyokuwa chelsea na real madrid nyakati za jose, kinyume chake ni hivyo ni kwamba kocha naye anataka awe na sauti kuliko DOF.
miaka ya zamani tulishuhudia kazi nyingi zikisimamiwa na makocha wakuu (manager) tofauti na nyakati hizi ambazo kwa kiasi kikubwa sana majukumu yamekuwa yagiwanywa pande mbili (kocha na DOF/ TD).
nadhanii kuna umuhimu wa kuongezwa mtu wa tatu ambaye ni assistant coach awe ni kama kiunganishi kati ya DOF na benchi la ufundi, nakusudia kusema awe ni muhusika wa maswala ya mazoezi, technical plan pamoja na kureview scouting report.
wapo DOF wengine uelewa wao wa mpira ndani ya uwanja ni mdogo ukilinganisha na makocha waliocheza na kufundisha mpira.
hii kazi ingelimfaa zaidi mike phelan kiupande wangu, carrick na mckena wabaki kuwa ni makocha wasaidizi wa OGS, huku phelan akiwa kama ni sikio jengine la gaffer kwa nyakati hizi ambazo mzee fergie bado yupo hai napata imani uwepo wake na phelan utakuwa ni msaada mkubwa kwa OGS.
je ujio wa DOF/ technical director atakuwa na uhuru wa kufanya maamuzi mema juu ya klabu au bwana atabaki kuwa glazer family?
Pale Molde (Norway) alishabeba ndoo mara 2. Na kumbuka hii timu ikikuwa haijawahi kuchukua kombe kwa miaka zaidi miaka tangu ianzishweKocha yyte yule mwenye uwezo wa kuchukua makombe football is all about trophies sio kama livapool wanaofurahia hugging.
Unamuondoa kocha mwenye makombe 27 kwenye carrier yake unaenda kumchukua kocha aliyeishindwa hata Cardiff city.
Kwani klopp ni kocha?? na Kama kocha je amewapa ubingwa mara ngapi??Mkuu huyu Ole Soksi nakuhakikishia atafukuzwa kazi kabla ya Christmas msimu ujao............. hakuna kocha hapo zaidi ya kujikombakomba kwa kina Pogba, Rashford tu
hahahahaaaaaa hatari sana wapiga ramli wa mpira wa ulaya kumbe wapo
Sawa tunaandaa barua ya kuleta maombi kwenu familiar yenu ikakalie benchi la ufundi olt Trafford na kusimamia Mazoezi CarringtonManchester United timu imeishiwa Ambition kabisa mnampa timu huyu msimamizi wa mazoezi aliyeishusha Cardiff daraja atawasaidia nini nyie
Unaongoza ligi Unauhakika mkuu??naongoza ligi ,Uefa mpaka sasa ni kama nipo semifinal......... wewe hiyo timu yako kama kikundi chako wapika gongo wa yombo vituka mnajipya gani?? Wagalatia nyie
Unauhakika dybala anaweza cheza 9 mkuu au Warner unaamini kuwa atakuwa ni zaidi ya lukaku??Lukaku Makaptula awekwe sokoni tumpate DYABALA au WERNER
Watu hawana record Molde ya Ole ilikuwa vizuri sana.Pale Molde (Norway) alishabeba ndoo mara 2. Na kumbuka hii timu ikikuwa haijawahi kuchukua kombe kwa miaka zaidi miaka tangu ianzishwe
Isitoshe OGS ndio yupo kwenye early stages za carrier yake kwahiyo kimafanikio si sawa kumfananisha na Jose
Hakuna anayebisha kwamba Jose ni moja kati ya makocha wenye mafanikio na ninaamini bado anaweza kuwa na mafanikio hata mbele ya safari, lakini kwa United it was no longer working.
Pia Jose huwa ni kocha wa misimu 2, msimu wa 3 lazima aharibu
Kiuwezo kama kocha Jose yupo vizuri lakini tactics sio kila kitu kwenye coaching, kuna suala la kuwa na uwezo wa kumotisha wachezaji wako, pia kuna ishu ya man management skills n.k.
Mfano juzi juzi, Rooney amesema kati ya makocha wote waliomfundisha Van Gaal was a best tactician. Sasa unataka uniambie Van Gaal over all kama kocha anamzidi Fergie?
Kinachonichekesha zaidi option zako unazotoa, eti OGS hana uwezo na timu apewe Pulis. Pulis ni kocha wa kunusuru timu zisishuke daraja, wewe nani amekwambia United inataka kushuka daraja
Sent using Jamii Forums mobile app
Dyabala anacheza 10 ila huu warner ni 9Unauhakika dybala anaweza cheza 9 mkuu au Warner unaamini kuwa atakuwa ni zaidi ya lukaku??
Sent using Jamii Forums mobile app
Liverpool ina miaka 30 bila kombe ligi kuu ,naongoza ligi ,Uefa mpaka sasa ni kama nipo semifinal......... wewe hiyo timu yako kama kikundi chako wapika gongo wa yombo vituka mnajipya gani?? Wagalatia nyie