Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Kwangu Mimi best option ni Eriksen ambaye ameprove kucheza vizuri sana kwenye English footballOption za kum replace Pogba zipo nyingi (like to like replacement)
Bruno Fernandez (Sporting Lisbon)
Ndombele (Lyon)
Christian Ericksen (Spurs)
Wengine tunawaachia Scout Network ya United ambayo inatajwa kuwa ni Network kubwa kuliko zote ukimwenguni wanaweza kupata mbadala (Unless mniambie siku Pogba akiondoka United ndio itakufa)
Lakini pia Pogba anaweza kuwa replaced kwa kubadili mfumo (sio like to like replacement)
Badala ya 4-3-3 ikawa 4-4-2 na wachezaji wanaoweza wenye uwezo mkubwa duniani wapo wengi tu
Mfano kwenye 4 ya nyuma (unaongeza Koulibaly au De Legt)
Kwenye 4 ya kati unaweka Matic/Herrera, Bruno Fernandez/Ericksen/Ndombele/Nerves (Wolves) n.k., Sancho, Martial
Kwenye 2 ya mbele unaweka Lukaku na Rashford/Lingard/Mata/Usajili mpya wowote
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
