joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 18,841
- 39,443
Mmmh mbona unakuwa muongo,mwanzo mwisho Arsenal katawala kati pale,wewe mashambulizi yako yalikuwa ya kuvizia.Anasema eti alitawala kiungo, nadhani alikuwa anaangalia game tofauti na tuliyoangalia wengine
Arsenal walicheza vizuri dakika 15 za kwanza, baada ya hapo wakapoteana
Game ya jana imeamuliwa na bahati, sometime bahati kwenye soka ina nafasi yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea kimpira kabisaNilikuwa nimekula ban leo napitia review za gemu ya jana kwenye jukwaa letu na mimi nina haya ya kusema;
√Kwa upande wangu mchezaji aliyecheza vizuri kuliko wote jana ni Fred,,Yes ni Fred..alikuwa akipata mpira anawaza kwenda mbele,hachezi back pass..alifanya makosa machache ambayo hata wachezaji wengine wanayafanya..kuna watu walitaka McTominay acheze,je Tominay angekuoffer kitu gani cha kitofauti ambacho kingefanya tushinde gemu ya jana..Fred is good on team going foward...7/10 for Fred
√ Kuna watu tusiposhinda tunakuwa tunawapa lawama ambazo hata hawazistahili..Sasa kwa nini hamsemi kuwa jana Rashford alikuwa selfish,non -Clinical??..kwa nini hamsemi Pogba alikuwa hajatulia jana??
√All in all hatuwezi kushinda mechi zote kuna ambazo lazima tuzipoteze,let looking foward kwenye mechi zijazo kwenye mashindano tuliyopo
GGMU
Mmmh mbona unakuwa muongo,mwanzo mwisho Arsenal katawala kati pale,wewe mashambulizi yako yalikuwa ya kufizia.
Graeme Souness blames Manchester United's 'off-the-pace' midfield for Arsenal loss
Hamna mchambuzi ambaye sio mshabiki katika sayari hii,lakini jana kati tuliwazidi huo ndio ukweli .Arsenal gani hiyo iliyotutawala kati jana??..
Halafu kauli ya huyu mchambuzi uchwara shabiki wa liverpool wewe ndo unaitumia kama reference..
Duuh..Okay sawaHamna mchambuzi ambaye sio mshabiki katika sayari hii,lakini jana kati tuliwazidi huo ndio ukweli .
Kikosi tunacho kipana?!!!!!Tumesema kuhusu Rashford na tumesema pia kuhusu Fred.
Kikubwa nachoona, madogo wapewe nafasi ili kuua over confidence ya hawa kina Pobga na Rashford.
Tufanye rotation, kikosi tunacho kipana tukiwapa nafasi madogo.
Fred anarudi vizuri, jana kacheza poa sana!!
Alitufungia penat yenye pressure kubwa bila matatizo yeyote ila leo so awaful
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia niligundua alikuwa na ubinafsi flani muda mrefu... Kuna muda alikuwa kwenye nafasi ya kugawa mpira ila anakaa nao tu na anaupoteza.Kama unafuatilia press za ole alisema anashindwa kumlaum rashford hii kutokana na umr wake ina maaana hata kocha kagundua dogo hana muendelezo mzur wa kiwango kweli alifunga penat lakin haiondoi uwajibikaj wake uwanjani anakosa sana goli jana kabla ya mech garry neville anasema manchester united inahitaj mshambuliaji mmoja kiungo mmoja na bek mmoja au wawili
Kwa mech ya jana alikuwa hovyo
Sent from my iPhone using Tapatalk
Hii ndiyo Manure tunayoijua sisi
Hahahaha lazima mtafute pa kujifichia hahahaha ..
Zile sita ziko wapii hahahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa hajajinyonga tu?Livakuku hauijui? We shangilia huku ushindi wa arsenal wakat kule city anasepa na ndoo klopp mwaka wa 4 huu hata kikombe cha kunywea juis hana achalia mbali livakuku kugusa kombe la epl
Sent from my iPhone using Tapatalk
Kama unafuatilia press za ole alisema anashindwa kumlaum rashford hii kutokana na umr wake ina maaana hata kocha kagundua dogo hana muendelezo mzur wa kiwango kweli alifunga penat lakin haiondoi uwajibikaj wake uwanjani anakosa sana goli jana kabla ya mech garry neville anasema manchester united inahitaj mshambuliaji mmoja kiungo mmoja na bek mmoja au wawili
Kwa mech ya jana alikuwa hovyo
Sent from my iPhone using Tapatalk
Mbona unaacha maana ya sentensi unachikua neno?? Emu rudia kusoma utaelewa nimemaanisha nini.Kikosi tunacho kipana?!!!!!
Sent using simu mbovu
Rashford habadiliki kabisa na OGS anatamani Rashford awe kama CR7 wakati hilo jambo haliwezi kutokea.
Sent from my iPhone using JamiiForums