Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu dogo yupo vizur sana ujue tuna madogo wengi sana kwenye timu yetu huyo ana 19 tu akipewa timu solskjaer tunanafasi ya kuja kuamka maana namuona anajikita ktk damu changa nawaza lindelof afikishe miaka 26 au 27 itakuwaje maana kana 23 tu
Nilimsikia kwenye interview baada ya southampton,aliongea kwa loyality na passion kubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo mana walisema siku ya ogs kupotea imefika sio phelan,ila kurukaruka haijawahi kuwa dawa ya ulimbo
Phelan ana mchango mkubwa sana kwenye mabadiliko yanayoendelea pale United

Pia Michael, na Mc Kena na Dempsey

Angalia game zinapokuwa zinaendelea utaona Ole mara kwa mara anaongea na wote au mmoja wao

Lakini kama timu ikifanya vibaya huwa hatuwataji saaaana hao wengine (japo inabidi tuwape sifa zao) huwa tunamponda sana meneja

Hivyo sio zambi hata kwenye mafanikio tukimsifia zaidi meneja

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Injury Concern kuelekea game ya Arsenal

Bailly is okay/fit to play

Herrera and Matic one/both of them can play on sunday

Martial is back/fit to play


Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Martial na Bolingoli ndiyo watakaoimaliza Arsenal. Kesho ni siku ya Furaha tena maana game ya PSG imeleta kujiamini sana hata Fred anajiamini sasa.
 
Back
Top Bottom