Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ukiondoa makosa madogo madogo ya kimchezo ambayo hata kwa timu yoyote ile ni kawaida/inatokea.

Kwa kweli MAN UTD leo wametulia, hasa kipindi hiki cha pili.

Wanacheza Mpira mzuri sana
 
Hao waliotajwa na hawa niliowataja wote walikuwa na potential ya kuwa ma superstars

Lakini kuna baadhi (kundi la kwanza) wameweza kuwa ma superstar lakini wengine wameishia kubaki wachezaji wa kawaida

Kimsingi nilitaka kuonesha hata hao akina CR7 kuna kazi imefanyika pale united ndio maana wakaja kuwa world class players.

Kwa hiyo united anapaswa kupewa credit, kwani vinginevyo wangeweza kuishia kuwa kama Bebe

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh lakini logic umeipata ya kilichozungumziwa?kabla ya wewe kuleta list nyingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa naona ile tabia ya kushabikia watu kama kina Martial inaanza. Huyu dogo ni jipuuuu. Kwa mfano mechi ile na Palace alipwaya sanaa, mpaka Ole akaamua kumtoa na kumuingia Baily namba 2 na Young akasogea mbele namba 7 (alipokuwa huyu kijana) magoli yakamiminika kama uji. Dogo huyu ni JIPUUU.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nirudie hii comment "NI JIPUUUU"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MAN UTD wamefanya mabadiliko.

PEREIRA ametoka.

Ameingia CHONG
 
Mabadiliko tena kwa MAN U.

ASHLEY YOUNG ametoka, ameingia GREENWOOD
 
Back
Top Bottom