Mkataba wa United & Adidas ni £75m per season na 10%-15% ya mauzo ya jezi yanarudi kwenye klabuKaka ishu ya mauzo ya jezi haya husiani kabisa na kuongezewa mkataba kwa mchezaji,Kwan mfano Jones AU Young anauza jezi?
mbna kaongezewa mkataba mnono tu...hayo maswala ya mauzo ya jezi yalikuwepo zaman tulivyokuwa na mkataba na Nike
ila baadaya Kuhamia Adidas mambo hayaendi hvyo,mauzo yote ya jezi haya endi kwa Club yanaenda kwa ADIDAS ila
kila mwisho wa msimu ADIDAS anaweka mezani kwetu Pound MIL 70 sharti tusitoke nje ya Champions League kwa misimu
miwili mfululizo.
Wewe nafasi uliyopo inakufaa kabisa..Hakuna kitu kama hicho lazima upigwe ni hatar kutoa suluhu kwako
Izo 30 apo mnaeza ambulia point zisizozidi 17 tu ..Kama tumewafikia Chelsea na Arsenal na kuwapita tutawashindwa vipi hao? Zimebaki mechi 10. Point 30 za kupigania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hela zipo wamlipe tuu, kwani walipokuwa wanamchukua sanchez hawakujua kitatokea hicho.Duh hii habari kuwa Degea anataka mshahara kama wa Sanchez ndio amwage wino inawangisha kichwa sana
Kila mchezaji tegemeo akija na style hiyo kuna baadhi ya mastaa tutawashindwa
Inaendelea kujidhihirisha kwamba usajili Sanchez ulikuwa one of the big mistake pale United
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha mpira ungekuwa mrahisi hivi mungekuwa mabingwa miaka yotee..Mbio za top 4 kwa United
Msimu uliopita Man Utd alikuwa nafasi ya 2 akiwa na points 81, Spurs nafasi ya 3 kwa points 77 na Liverpool nafasi ya 4 kwa points 75
Man Utd kwa sasa ana points 55, kama akishinda mechi zote anamaliza ligi akiwa na points 85. Ina maana akipoteza points 10 kati ya mechi 10 zilizobaki (jambo ambalo ni gumu kutokea) atakuwa na points 75, sawa na za aliyeshika nafasi ya 4 msimu uliopita.
United ana mechi ngumu na City. Mechi ya Chelsea na Arsenal ni ngumu lakini si sana (Na hizi mechi ni 6 pointer).
Endapo katika mechi zilizobaki akipoteza points 4, ataweza kumaliza ligi akiwa na points sawa na za msimu uliopita ambapo tulikuwa washindi wa pili. Swali je jumla ya points za mshindi wa pili wa msimu wa 2017/2018 hazitatosha kumfanya amalize top four? Vipi kuhusu points za mshindi wa tatu ambaye alipata 77? Kiufupi United anayo nafasi kubwa ya kumaliza ligi akiwa wa nne au hata wa tatu.
Katika mechi zilizobaki zipo ambazo tutakutana na wale wapinzani wetu kwenye top 4. Kuwafunga ni kama kupata points 6 dhidi yao, maana umeongeza points zako 3 na umempoka yeye points 3.
Hapo hatujaongelea fixtures zao wenzetu. Mfano Chelsea ana mechi na Liverpool na Man Utd ugenini, ana Wolves na Leicester timu sumbufu kwa vigogo. Sijamsahau Burnley.
Ukija kwa Arsenal ana United, ana Spurs, ana Wolves, Cristal Palace, ana Leicester. Pia yupo Burnley.
Kwanini kwa mazingira hayo United asimalize msimu akiwa top 4?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaongelea timu ipi mkuuWakati huo nitakua niko namba tatu nakula bata pale, huku spurs akiwa namba nne, wewe na mwenzako mtaendelea kukaa huko Europa na akina Red Bull Salzburg
KDB alikuwa majeruhi weweView attachment 1034135
Ndani ya misimu miwili (uliopita na huu) kwenye PL, Pogs amemfunika De Bruyne vibaya!
Kwani mara ya kwanza tuliwafunga? Si mlichomoa dkk za nyongeza.Chelsea hafungwi Mara mbili na timu moja hata ..narudia tena hafungwi Mara mbili..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkataba wa United & Adidas ni £75m per season na 10%-15% ya mauzo ya jezi yanarudi kwenye klabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi elewa hii kituHahaha...sasa hyo 10% ndo kwa mtizamo wako unafikiri inafanya mtu aongezewe mkataba au la??
Huwezi elewa hii kitu
De Gea anagoma kuongeza mkataba sababu anataka aongezewe mshahara kama Sanchez unafikiri why Woodward alikubali kumpa Sanchez huo mshahara lakini anagoma kumpa De Gea.Kwa Woodward ni bora ampe Sanchez ambaye anaamini atarudisha some amount kwenye kuuza jezi na Sanchez alikuja as free agent ( Swap deal with Mkhi klabu haikutoa hela)
Sanchez ndio alikuwa mchezaji anayeuza jezi nyingi akiwa Arsenal
Sent using Jamii Forums mobile app
Why Mkhi analipwa mshahara mdogo hapo Arsenal licha ya wao kutolipa anything kwenye signing fee?Haha..unanichekesha sana aisee hebu nitajie kipa anaeuza jezi kwa mfano? Makipa huwa hata hawauzi jezi...
Sachez alipwa ile hela sababu hatukutumia hela yoyote kumsajili ni sawa na Juve mkulipa Ramsey hyo hela wanayotaka kumpa sababu hawajatoa hela yoyote kumsajili,hvyo hayo maswala hayahusiani na kuuza jezi kabisa ,ishu ya De gea inachelewa sababu ya negotiations ni kama hererra tu,huwezi mpa mchezaji hela yoyote anayotaka lazima m negotiate sio unatoa tu pesa kama fala!
Kosa kubwa United itakalofanya ni kumpa DeGea hela ndogo.De Gea sio muuza jezi ndio maana Woodward anasita kumpa hiyo hela.De Gea anastahili kulipwa mshahara mkubwa kuliko wachezaji wote wangempa na Ukapteni kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Anauzwa kwa nusu mshahara.Hili ni tatizo kubwa aisee mambo kama haya kipindi cha babu yalikuwa hayapo kabisa, ishu ni kwamba tulivunja wage
structure ya pale UTD tulivyomuongeza mkataba Rooney na Baada ya apo Pogs na baadae ndo Sanchez sasa kila top player
tutakae msajili atataka avute mpunga sawa na hao jamaa mpka mwisho wa siku ilitakuwa tatizo kubwa hata ukitaka kuwauza
hawa wachezaji,mfano sahv tukitaka kumuuza Sanchez club chache sana zitakuwa zipo tayari kumlipa huo mpunga tunaompa
ss labda aende china hko,itakuwa yale yale kama ya Rooney tunamuuza everton lakn bado tunaendelea kumlipa nusu ya
mshahara wake!
Why Mkhi analipwa mshahara mdogo hapo Arsenal licha ya wao kutolipa anything kwenye signing fee?
Why CR7 amenunuliwa kwa fedha nyingi na still analipwa mshahara mkubwa ?
Kwa logic yako Woodward alikuwa right kumlipa Sanchez huo mshahara ?
That's was biggest mistake alilofanya na next season Pogba atataka ku-renew contract the same problem itatokea
Sent using Jamii Forums mobile app