Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kazembea kizembe sana,,kanyanganywa mpira kabaki kasimama tu
Mpira ule ulikuwa unatoka nje, yeye ndo kufanya jitihada za kuzuia usitoke, wakati mazingira Yale yalikuwa aidha uache utoke au usaidie kuusindikiza nje.
 
Kiukweli hata yeye akijitathmini nahisi anapata msongo wa mawazo...ndo wachezaji wa Mou hao,akiona timu zingine zinamuulizia anakimbilia kununua...kuna wakati namuangalia anavyocheza naamini kuna wachezaji zaidi ya mia kwenye ndondo cup wanaocheza vizuri zaidi yake.
Hahahahahah

Yani mm siamini huyu jamaa tumeuziwa 50

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom