Kashindwa kujiaminiHuyu Fred mbona kama ni mzigo?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Naona Hawezi kubadilika kama Zana CoulibalyKashindwa kujiamini
.
Nilimuona mkuu.Mkuu mechi yao ta mwisho juzi na Leicester ulimuangalia? au mechi zao na Man City, Chelsea, Arsenal ulimuangalia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilimuona mkuu.
Tatizo huyu dogo anaweza kufanya jambo mechi ya January, halafu kuja kucheza vizuri tena mpaka Novemba
Sent using Jamii Forums mobile app



Huyu fred-waa hapa hakuna mchezaji
Ndio maana timu iliyomuuza ilichekelea sana. Walimuuza kwa pesa kubwa wakati wakijua ni garasa.Huyu fred-waa hapa hakuna mchezaji
Kwani nywele ndio zinacheza mkuu.
Lukaku na Shaw leo cjui wamekula nn!! Wanacheza poa sana