Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

udhaifu mkubwa wa McTominay ni back na square passes kwani hawamuangaliagi Herrera yani anashindwa hata na Lindelof ambaye ni beki
 
Huyu fred-waa hapa hakuna mchezaji
Ndio maana timu iliyomuuza ilichekelea sana. Walimuuza kwa pesa kubwa wakati wakijua ni garasa.
Ila Wabrazil na Man U sijui wana nini aisee.
Yaan Wabrazil waliocheza Man U angalau kidogo ni Anderson na wale mapacha ila mwingine kuacha Fabio.
Lakini Kleberson alichemsha vibaya mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom