Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wabongo sisi tatizo ujuaji mwingi, angekuwa hana mbinu leo Liverpool wangeondoka na magoli sio chini ya matatu.

Angekuwa hana mbinu tusingembomoa Chelsea.
Halafu kocha hayupo peke yake, ni bench zima ndio linafanya kazi.
Huyo jamaa anasemaje OGS hana mbinu wakati kaona kabisa utofauti wa kipindi cha 1 na kipindi cha pili. Mane, salah wote waliwekwa mfukoni, big chances zote tumezitengeneza sisi. Tulishikwa first half kwa sababu wachezaji muhim waliumia, iv wew haujui kwamba herera ndio injin ya ukabaji na kuanzisha mashambulizi? Haujui pia kwamba tulimkosa matic leo? Lakin pia hebu litizame benchi letu ambavyo lilikuwa na wachezaji wengi ambao hawako kwenye kiwango bora. Lakin pia baada ya half time je haukuona tulivyocheza kwa ufundi kiasi cha kui ua midfield ya liver?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbuka hapo hapo anfiled ulikula 3 ,

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe si ulisema Liverpool lazima ashinde,,,nitakuambia pale ni OT..angalia sasa pamoja na kucheza wachezaji wengi wa kikosi B bado wameambulia sare!
Sasa nahitaji confession yako kuwa ulikuwa wrong na pia wewe ni shabiki wa mpila na siyo mfuatiliaji wa mpila!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli ni kuwa Man U hii ya Ole haikuwahi kucheza vizuri kila mechi wakicheza na wakubwa wenzake
Na Spurs De Gea ali okoa one against one 11
Na PSG mkafungwa
Leo pia mtafungwa
Na Chelsea hao wapo hovyo mno kwa sasa!
Tumefunga Arsenal kwao, Spurs kwao, Chelsea kwao, tumesuluhu na Liverpool.. tumeruhusu goli moja tu la kufungwa michezo yote,

Ndio kitu tunachotaka sisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…