Hahahaha unafungwa na timu ambayo haijakamilika wakati wewe umekamilika kila kitu..
Wewe huna mpira wa kuifunga Chelsea kama PSG umemshindwa.
Nyumbani anakutandika mbili nunge..
Man city dawa yao wataipata tarehe 25..
Cc.@Ollachuga Oc
Kama ambavyo ulikimbia baada ya kufungwa 6 afu ukarudi baada ya sisi kufungwa na PSG, basi karibu leo kutupa hongera zetu
Kwa nini uteseke????
Sent using
Jamii Forums mobile app