Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kati ya Jones na Bailly nani utampanga na Lindelof jumanne??

United Fan


Hyo ni Mechi ya Bailly kabsa! Wakimpanga Jones hyo mech tutaenda kutia aibu, Shida ya Jones hana speed alafu anamakosa mengi akiwa under pressure, sasa wale jamaa wana Mbappe unategemea nn hapo?
 
Hivi ule msiba wa 4G kutoka kwa Bournemouth wewe ndio ulikuwa kamati ya chakula? Ulibana sana bujeti mkuu. Msiba unaokuja mimi ndio nitakuwa kamati ya chakula.

Imebainika kuna Watu hawashiriki kwenye Matukio ya Kijamii yasiyokuwa Misiba! Kwahiyo husubiri misiba tu kwa Majirani ndiyo huibuka kwa kufata kula.

Kwahiyo Kwenye Kamati tulikubaliana kuwa Kula Kila Mtu Kwao.
 
Mourihno ni mtu mshenzi sana wakuu..yaani alitaka kutuambia hata top 4 kwetu kuinusa ni sawa na ardhi na mbigu..we are not there yet,lakini jamaa inabidi abebe lawama zote za kutukwamisha msimu huu at some point..

United Fan
Yeah Mkuu but we have to move forward let's forget that miserable moments

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…