Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Frankly speaking, napataga shida sana nikiingia kwenye uzi wa ManUtd na mie nikiwa ni mpenzi namba moja wa Timu hii, kukuta kuna comments au mabishano kuhusu timu za Asernal, Chelsea, nk sionagi u maana . Mie nilidhani kuwa kutakuwa na mijadala yaperfomance ya Team, Usajili ili kuimarisha team, Fixtures, Gaps, Predictions, Line ups for upcoming match, na kadhalika na kadhalika kwa maendeleo ya team. NAOMBA KUWASILISHA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Frankly speaking, napataga shida sana nikiingia kwenye uzi wa ManUtd na mie nikiwa ni mpenzi namba moja wa Timu hii, kukuta kuna comments au mabishano kuhusu timu za Asernal, Chelsea, nk sionagi u maana . Mie nilidhani kuwa kutakuwa na mijadala yaperfomance ya Team, Usajili ili kuimarisha team, Fixtures, Gaps, Predictions, Line ups for upcoming match, na kadhalika na kadhalika kwa maendeleo ya team. NAOMBA KUWASILISHA

Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuta watu wanabishania Usimba na Uyanga humu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Frankly speaking, napataga shida sana nikiingia kwenye uzi wa ManUtd na mie nikiwa ni mpenzi namba moja wa Timu hii, kukuta kuna comments au mabishano kuhusu timu za Asernal, Chelsea, nk sionagi u maana . Mie nilidhani kuwa kutakuwa na mijadala yaperfomance ya Team, Usajili ili kuimarisha team, Fixtures, Gaps, Predictions, Line ups for upcoming match, na kadhalika na kadhalika kwa maendeleo ya team. NAOMBA KUWASILISHA

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu hivyo ulivyowasilisha hata wewe unaweza kuanzisha na watu wakaanza kujadili.

mpira bila kumuongelea mpinzani hasa nguvu na udhaifu wake na utani pia huo sio mpira.

nawasilisha
 
View attachment 823085
Full name: Manchester United Football Club

Nickname(s): The Red Devils

Founded: 1878 as Newton Heath LYR F.C | 1902 as Manchester United F.C.

League: Premier League

Website: ManUtd.com


View attachment 823091
Ground: Old Trafford, (Capacity: 74,994) - Pitch 105m x 68m


View attachment 827629
Co-Chairmen: Joel na Avram Glazer

View attachment 975419
Interim Manager: Ole Gunnar Solskjaer​

Manchester United Trophies:
League Tittles: 20

First Division/Premier League Champions: 20 (1907/08, 1910/11, 1951/52, 1955/56, 1956/57, 1964/65, 1966/67, 1992/93, 1993/94, 1995/96, 1996–97, 1998/99, 1999/2000, 2000/01, 2002/03, 2006/07, 2007/08, 2008/09, 2010/11, 2012/13)

European Trophies: 6
UEFA Champions League: 3 (1967/68, 1998/99, 2007/08)
UEFA Europa League: 1 (2016/17)
UEFA Super Cup: 1 (1991)
UEFA Cup Winners': 1 (1990/91)

FA Cup Trophies: 12 (1908/09, 1947/48, 1962/63, 1976/77, 1982/83, 1984/85, 1989/90, 1993/94, 1995/96, 1998/99, 2003/04, 2015/16)

League Cup: 5 (1991/92, 2005/06, 2008/09, 2009/10, 2016/17)

Community Shield: 21
FA Charity Cup/FA Community Shield: (1908, 1911, 1952, 1956, 1957, 1965, 1967, 1977, 1983, 1990, 1993, 1994, 1996, 1997, 2003, 2007, 2008, 2010, 2011, 2013, 2016)

Other Trophies
Second Division Championship: 2 (1935/36, 1974/75)
Intercontinental Cup: 1 (1999)
FIFA Club World Cup: 1 (2008)

View attachment 827615
Manchester United Trophies' Cabinet

View attachment 514134
Manchester United Football Club celebrate as they Crowned Europa League Winners(2016/17)

Follow this thread for team updates!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Frankly speaking, napataga shida sana nikiingia kwenye uzi wa ManUtd na mie nikiwa ni mpenzi namba moja wa Timu hii, kukuta kuna comments au mabishano kuhusu timu za Asernal, Chelsea, nk sionagi u maana . Mie nilidhani kuwa kutakuwa na mijadala yaperfomance ya Team, Usajili ili kuimarisha team, Fixtures, Gaps, Predictions, Line ups for upcoming match, na kadhalika na kadhalika kwa maendeleo ya team. NAOMBA KUWASILISHA

Sent using Jamii Forums mobile app
Definitely right thread ya Manchester united lakn mengi yanazungumziwa ni kuhus team nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom