adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 15,522
- 33,724
Kwa kukazia mkuu hivyo vyote hujadiliwa sana tu.Ila ubishani na wadau wa timu nyingine ni muhimu na una nafasi yake kwani huchangamsha threadmkuu hivyn ulivyowasilisha hata wewe unaweza kuanzisha na watu wakaanza kujadili.
mpira bila kumuongelea mpinzani hasa nguvu na udhaifu wake na utani pia huo sio mpira.
nawasilisha