OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Hahaha na watachukua sasa.Hahahaha boss upo kama Mimi yaani bora ichhukue timu nyingine yeyote lakini sio Liverpool maana watatusema sana hasa sisi United
Siidharau mkuu timu tunayokutana nayo toka 2013 hawakos top 4 wamekaa muda mrefu wanajuana wanakocha mzur sisi kocha wetu itakuwa mech ya 6 bado anatafuta muunganiko wa timu ili falsafa zake zuwaaingie ndo mana naona kama spurs ana nafasi kubwa ya kufanya vizur.
Ujio wa mourinho sir alex alipinga sana na bobby chalton hawakutaka apewe kazi kufuatana na soka lake na namna ambavyo hakai kwenye timu kwa muda mrefu ila hajapewa majukum yoyote kwa ushaur wa ki management huwa anahusika nasikia kuwepo kwa solskjaer na kocha msaidiz phelan alihusika kushawish bod wapewe kazi ya mudaWakuu nisaidieni kitu hapa.
Baada ya Ferguson kuacha kazi ya ukocha kuna role yoyote alipewa kwenye timu?
Naelewa ana influence as a Legend, nachotaka kujua ni kama ana any official role.
Hii imekuja baada ya ubishi kuibuka kijiweni kwamba eti Ferguson ndiye aliyeshauri coaching team ya sasa (the whole bench), na aliyekuwa anaongoza mjadala anasema Fergie ni member wa board. Mimi nimejaribu kuangalia simwoni kwenye board.
Kuna mahali nimeona alikuwa ni Non executive director around 2013 mpaka Van Gaal anatimuliwa, so kama mtasaidia updates tafadhali.
cc: Mc cane, Damushin, Darmian, lukesam, radika, 4G LTE, Daud1990 na wengine wote.
Lakini ukumbuke, katika mechi 5 tulizofungwa, moja to ndiyo tulifungwa OT, na mechi hiyo alitufunga Tottenham, tena ilikuwa goli 3 kwa 1.Of all top 5, Hao Totenhum ni wepesi zaidi kuwafunga, loss rate yao ni kama yetu, wamefungwa mechi tano tumefungwa mechi tano (under mourinho).
sasa sielewi wanaopiga kelele eti mtihani halisi Man U itakutana nao kwa totenhum wanamaanisha nini
Unatambua toka 2013 spurs wao ni uhakika kumaliza top 4? Ukipata jibu utaangalia huo ulinganifu wako umetumia kigezo kipi.Of all top 5, Hao Totenhum ni wepesi zaidi kuwafunga, loss rate yao ni kama yetu, wamefungwa mechi tano tumefungwa mechi tano (under mourinho).
sasa sielewi wanaopiga kelele eti mtihani halisi Man U itakutana nao kwa totenhum wanamaanisha nini
3-0Lakini ukumbuke, katika mechi 5 tulizofungwa, moja to ndiyo tulifungwa OT, na mechi hiyo alitufunga Tottenham, tena ilikuwa goli 3 kwa 1.
Of all top 5, Hao Totenhum ni wepesi zaidi kuwafunga, loss rate yao ni kama yetu, wamefungwa mechi tano tumefungwa mechi tano (under mourinho).
sasa sielewi wanaopiga kelele eti mtihani halisi Man U itakutana nao kwa totenhum.
Shukrani kwa kunisahihisha.
Jamaa anaichukulia poa spurs wametugonga sana mech za away labda kama kapoteza kumbukumbuKwa mtazamo wangu: kuiita Tottenham kama mtihani wa Man Utd ni kwa sababu chache zifuatazo:-
- Man Utd hajifunga timu yoyote iliyo juu yake kwenye msimamo,
- Man Utd alifungwa na Tottenham (OT), hii game mtakuwa ugenini,
- Tottenham ni moja ya timu ambazo ziko vizuri offensive, na Man Utd haina defense nzuri, so kila mshabiki anasubiri kuona mnatokaje,
- Timu mlizozifunga ni timu ambazo Tottenham kazifunga pia, hatuoni kama hayo ni maajabu, na
- Pochettino as a proved EPL Top 3 best coach vs unproven interim coach.
Jamaa anaichukulia poa spurs wametugonga sana mech za away labda kama kapoteza kumbukumbu
Nikimfunga spurs hapo sasa ntaanza kuijadili top 4 ndo mana huwa nipo kimya kuizungunzia top 4 kwa sasa
Hapa unaizungumzia Man U ya Mourinho. ambayo haikuwahi kuingia uwanjani kutafuta ushindi ilipokutana na top 5 wote.Kwa mtazamo wangu: kuiita Tottenham kama mtihani wa Man Utd ni kwa sababu chache zifuatazo:-
- Man Utd hajifunga timu yoyote iliyo juu yake kwenye msimamo,
- Man Utd alifungwa na Tottenham (OT), hii game mtakuwa ugenini,
- Tottenham ni moja ya timu ambazo ziko vizuri offensive, na Man Utd haina defense nzuri, so kila mshabiki anasubiri kuona mnatokaje,
- Timu mlizozifunga ni timu ambazo Tottenham kazifunga pia, hatuoni kama hayo ni maajabu, na
- Pochettino as a proved EPL Top 3 best coach vs unproven interim coach.
Hapa unaizungumzia Man U ya Mourinho. ambayo haikuwahi kuingia uwanjani kutafuta ushindi ilipokutana na top 5 wote.
Katika kipindi hicho hicho, sisi tumechukua vikombe vingani wao vingapi?Unatambua toka 2013 spurs wao ni uhakika kumaliza top 4? Ukipata jibu utaangalia huo ulinganifu wako umetumia kigezo kipi.
SawaKatika kipindi hicho hicho, sisi tumechukua vikombe vingani wao vingapi?
Alafu Mkuu, ukubali au ubishe, Man U hii sio hiyo unayoizungumzia. Ni kama vile ukiizungumzia Man City unapaswa kuizungumzia man city ya Guadiola ukihusishe na nyuma ya hapo you end up with a very poor Man City, alafu unakua unajidanganya mwenyewe
You have a pointKwa mtazamo wangu: kuiita Tottenham kama mtihani wa Man Utd ni kwa sababu chache zifuatazo:-
- Man Utd hajifunga timu yoyote iliyo juu yake kwenye msimamo,
- Man Utd alifungwa na Tottenham (OT), hii game mtakuwa ugenini,
- Tottenham ni moja ya timu ambazo ziko vizuri offensive, na Man Utd haina defense nzuri, so kila mshabiki anasubiri kuona mnatokaje,
- Timu mlizozifunga ni timu ambazo Tottenham kazifunga pia, hatuoni kama hayo ni maajabu, na
- Pochettino as a proved EPL Top 3 best coach vs unproven interim coach.