Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,569
- 10,527
Hahahaha, jamaa Wazungu wanaua sana, may be Yes may be No
Ujawaona Hazard na Giroud apo.?Lukaku yumoView attachment 978658
Hazard ni level nyingine japo ana goli chache huwez linganisha na hao.
Pochetino nae kichaa tu, wala sioni ubora wake, kama Ile atafanya vizuri apewe tu timu, huyu wa spurs nae hamna kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huyu kocha kwa misimu mingi ndio mwenendo wake huu, anaweza akafululiza mechi kadhaa anashinda halafu, anakuja kuzingua kipindi ambacho ushampa matumaini kwamba huyu ndo atakua mpinzani wa anaefukuzia ubingwa, tena anapeteza mechi muhimu kwa vitimu vya kawaida tu, hata msimu alochukua lecister city ilikua nafasi ipo wazi kwa spurs lkn alikua akipoteza mechi muhimu tena na vitimu vya kawaida tuMakosa yake leo ni kuendelea kumuacha ndani Harry winks baada ya kuona anaingia Joao Moutinho. Yani dogo alipotea mzima mzima!
Waache wamezoea
I was thinking of this. Nadhani uongozi umeeona pia.
Exactly broI was thinking of this. Nadhani uongozi umeeona pia.
Tunahitaji muda kumwamini OSG.
Wageni wetu ambao huwa wanatoka London kuja kututembelea, leo mbona siwaoni humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi simkubali kabisa Poch anakosa self ambition akija Man utd atakuwa mgeni sana.Solskjaer anaweza kufanya mapinduzi akishirikiana na PhelanPochetino nae kichaa tu, wala sioni ubora wake, kama Ole atafanya vizuri apewe tu timu, huyu wa spurs nae hamna kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpeni Pochettino timu ..atawapa Uefa Mara tatu mfululizo kama Zidane, atawapa EPL na FA paka mchoke..Pochetino nae kichaa tu, wala sioni ubora wake, kama Ole atafanya vizuri apewe tu timu, huyu wa spurs nae hamna kitu
Sent using Jamii Forums mobile app