Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hiyo para ya mwisho mkuu, tunaweza kufanya jambo
 
Dah kwa kweli gepu ni kubwa na inatupa presha, ila cha muhimu ni sisi kushinda na kusubiri yatokanayo
 
Hiyo para ya mwisho mkuu, tunaweza kufanya jambo
ndio tunavyoomba mkuu lakini tatizo tunaowania nafasi msimu huu ni wengi.
arsenal msimu huu wameamka na wewe mwenyewe umeshuhudia wameweza kupambana mechi 20 bila ya kupoteza.

chelsea na wao licha ya kuwa na tatizo la umaliziaji lakini bado wana kikosi chenye nguvu ya kupigania nafasi ya 4.
sarri anafahamu fika kama hatopata nafasi ya 4 kibarua hana.
solution yetu ya kwanza ni kushinda mfululizo kama liverpool waliyofanya round 1.
 
Ni kweli mkuu

Lakini kwa tofauti ya points 5 au 8, lolote linaweza kutokea

Arsenal ameonesha anaweza kudondosha points kwa timu kubwa na hata ndogo (rejea Southampton kwa upande wa timu ndogo), Chelsea hali kadhalika (rejea Wolves, Leicester).

Ninakubali wapo vizuri, lakini United wakikaza kwenye mechi na timu ndogo ninaamini chochote kinaweza kutokea

After all kuna mechi mechi 19 zinasubiriwa ili ijulikane mbivu na mbichi mkuu
 
upo sahihi muheshimiwa, halafu wiki hii arsenal wanacheza dhidi ya liverpool, japokuwa siwapendi liverpool lakini itanilazimu niwatakie kila la kheri wapate ushindi kwa sababu kufungwa kwa liverpool ni hasara zaidi kiupande wetu.
 
upo sahihi muheshimiwa, halafu wiki hii arsenal wanacheza dhidi ya liverpool, japokuwa siwapendi liverpool lakini itanilazimu niwatakie kila la kheri wapate ushindi kwa sababu kufungwa kwa liverpool ni hasara zaidi kiupande wetu.
Kweli kabisa mkuu

Na jinsi tunavyopata matokeo, tunazidi kuwapa pressure hao waliopo mbele yetu
 
Sanchez aliumia kwenye mazoezi November 29 na hatacheza tena mpaka mwakani,alitegemewa kuwa fit baada ya wiki 6 So far ameshakaa nje almost mwezi mmoja hizo siku 8 unazihesabu vipi?
Ole: “I said to the staff towards the end, next week we will have Sanchez, Martial and Lukaku then we will really finish them off."
 
Goal Difference Ngapi Mpaka Sasa Maana Mechi Mbili Bao Nane
 
Kweli tuna kazi ngumu sana yani ingawa mpira unadunda ngoja tuone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…