Wakati anasema hayo maneno alikuwa ameshaondoka United (2013) na alikuwa hata hana ndoto kama kuna siku atarudi United kama kochaUlitaka aseme siipendi Man United? 😀😀
Hivi hujui kama ukocha Ni Kazi?
He kuna asiyeipenda kazi yake?
Hata Mark Hughes ni Legend Wa Man United amabaye alikuwa Mchezaji tegemeo Wa Sir Alix Ferguson, Lakini alipokuwa Kocha Wa Man City alisema anaipenda Man City na akaipiga Man United Nje Ndani.
Rejea kanuni za EFL MkuuHivi mkuu ikitokea msimu huu liver na man city walingane points, but liver awe na clean sheets nyingi , nani atakuwa bingwa hapo?
Hatuna mtu threat kule mbele kama Martial so far..sijui kwa nini kuna baadhi ya watu hawalioni hili..8 pl goals sio mbaya so farHahaha hapo najua umefurahia kutokumwona FIELD MARTIAL mkuu
Hatuna mtu threat kule mbele kama Martial so far..sijui kwa nini kuna baadhi ya watu hawalioni hili..8 pl goals sio mbaya so far
Martial yupo smart ila yupo soft kimtindoHatuna mtu threat kule mbele kama Martial so far..sijui kwa nini kuna baadhi ya watu hawalioni hili..8 pl goals sio mbaya so far
Mimi nilimchukia Mau kwasababu ya kutaka kumuuza Martial tuIli ujue kama Martial si Mchezaji Wa Sayari hii wakucheza na kina Lingard bali Ni Mchezaji Wa Kucheza na Kina Messi na Dembele! Basi Kampeni PEP GUARDIOLA au KLOPP umuone baada ya Mechi 5 tu ndiyo utamjua Martial Ni nani.
He is one of talented player in this Planet.
Napenda sana ole kuwa kocha wa manchester united lakin akipambanishwa na kocha wa spurs anabiki kocha wa spurs anachukua kazi asubuhi.Pochettino akiitaka hii kazi hakuna race hapo, hata interview hafanyi.
Buyern hawez kupewa timu hata aroge wale wanalinda misingi ya timu yao ya kushambulia sio kama sisi wakurupukaji nimeona wanampa kipaumbele xabi alonso.Nafasi Pekee aliyobakisha Ni PSG na Bayern.
Napenda sana ole kuwa kocha wa manchester united lakin akipambanishwa na kocha wa spurs anabiki kocha wa spurs anachukua kazi asubuhi.
Huyo jamaa sijui alikuwa anatoa wapi yale matokeo halafu ni friend mech sasaNaona matokeo ya united vs Cardiff yanakufanya kuweweseka mpaka Leo ... Mkuu tulia hapo moto ndio kwanza umeanza ...
Ukute ulikuwa unamaanisha hiyo mechi kwenye attachmentView attachment 975767
Kabisa akipata timu yenye pressure na makombe akili itamkaa sawa ila ole hana ubavu wa kupambana na pochetino aanze sasa.Niliona nisitumie nguvu kubishana na jamaa, Pochettino wote tumeona kazi yake Southampton, then Tottenham.
Sawa anaweza kuwa hajachukua kombe kwa sababu za budget na massive spending za wapinzani, lakini ni A rated coach ambaye ni dream coach kwa vilabu vingi ulaya.
Kuna watu hawalioni hilo mkuu,,Ili ujue kama Martial si Mchezaji Wa Sayari hii wakucheza na kina Lingard bali Ni Mchezaji Wa Kucheza na Kina Messi na Dembele! Basi Kampeni PEP GUARDIOLA au KLOPP umuone baada ya Mechi 5 tu ndiyo utamjua Martial Ni nani.
He is one of talented player in this Planet.
Wachezaji wengi these days ndo walivyoMartial yupo smart ila yupo soft kimtindo
Akifundisha vilabu vyenye presha ndipo tutaweza kumtathimini. Nafuu yake, Tots afunge au afungwe siyo story kwenye media au fans. Hiyo inampa utulivu hata kwa uwezo wake wastani kiufundishaji. Madrid jinsi wanavyoanghaika na coaches, wangekwisha kum-spot.Niliona nisitumie nguvu kubishana na jamaa, Pochettino wote tumeona kazi yake Southampton, then Tottenham.
Sawa anaweza kuwa hajachukua kombe kwa sababu za budget na massive spending za wapinzani, lakini ni A rated coach ambaye ni dream coach kwa vilabu vingi ulaya.
Akifundisha vilabu vyenye presha ndipo tutaweza kumtathimini. Nafuu yake, Tots afunge au afungwe siyo story kwenye media au fans. Hiyo inampa utulivu hata kwa uwezo wake wastani kiufundishaji. Madrid jinsi wanavyoanghaika na coaches, wangekwisha kum-spot.
mkuu ni wewe kweli unatoa pongezi hizi?Merry Christmas to you all Man United Fans ..napita kutoa salamu zangu, hongereni kwa ushindi wa goli tano.
Mna kikosi kizuri tu lakini sioni kama mtafua dafu msimu huu..
Naunga mkono hoja ya kiingereza kwa kiswahili.His main point is DOF must be someone know the club, we waste 5 years due to incompetence of Ed Woodward and we have many former players who can do that job ( Van der Sar is doing good job at Ajax)