Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Halafu kumbe umejiunga 2014

Ndio unanikosoa mimi kwamba nimejiunga juzi

You are very junior kwangu in terms of JF membership mzee
Nadhani hunijui wewe vizuri.



Kaa ukijua unaoambana na kisiki cha mpingo. Sasa Ngoja nikuchangamshe vizuri ili siku nyingine ukiiona hii ID uwe unakuwa na kumbukumbu za Kufukuzwa mou.



Kwa akili zako za kuvukia barabara za mwendo kasi kati ya mtu aliejiunga JF mwaka 2018 na 2014 Nani ni mkongwe humu ?? Nataka unijibu halafu nikufungulie Ballistic Missiles kutoka kwenye hiyo picha kwenye avatar yangu (North Korea).



Naona nimekwenda na wewe "Kifutiboli Futiboli" unazidi kunipanda kichwani.



Sasa basi kabla sijamaliza chupa yangu ya wine huku nikishangilia uondolewaji wa huyu nduli Mourinho nakuomba ujichanganye tena kwenye hii ID, ndipo maji utayaita MMA na muda si mrefu mtakuwa safari moja na Mou
 
Pogba amefanya kitu cha kipuuzi kwelikweli..Unprofessional kabisa
 
Something might be legal but unethical.

Kama ni sahihi, kipi kimemfanya afute?
Kumbe ukifuta post ni kosa ??? That means post zisizofutwa sio kosa ???



Yaani unataka kuniambia mtu akifuta post maana yake post hiyo haikuwa sahihi.


Hahahaha Mzee wa YeeezY, alifuta sio tu post account yake Nzima ya insta na Twitter , how do you say about Yeeezy Mzee ??


Hahahahaha Muhudumu ongeza kwa hisani ha Mou Pesa.
 
Ngoja tuone mkuu ila binafsi naamini ulikuwa unahitajika uwekezaj wa maana sio kocha tu bado mambo ni mengi spurs anasimama kwa sasa wana kocha yupo toka 2013
Siamini kama ulazima huo wachezaji mnao mipango tu ndo shida Sanchezi au. Pogba sio wabovu
 
Kumbe wewe umeanzia kushangilia na kujadili mambo ya United humu, tena 2014 pole sana

Kukufuata pm kama wewe ni jinsia ke niambie mkuu niwahi
 

Kwa sababu unajua nini unachobishania sina sababu ya kubishana na wewe.

Case closed.
 
Dah! Nimecheka san mkuu ulikua unausongo sana na JM
 
2014 JF, you are just a kid to me
 
Ninakupa Masaa Mawili ukanushe au uoneshe ni wapi nimeshabikia matusi kwenye huu uzi.

NINARUDIA TENA.....

Ninakupa Masaa Mawili ukanushe au uoneshe ni wapi nimeshabikia matusi kwenye huu uzi.







MUhudumu ongeza nyingine..
Kwa hisani Ya Mou Energy... Mou Faya .... Mou Pesa... Mourinho
 
Poleni watani, Mimi Liver nimekuja msibani tu. Ila kwa ukweli ndugu zangu mabadiliko yalikuwa lazima na sasa pressure ni kwa Pogba hakuna wa kusingizia tena inabidi acheze mpira sio social media. Na wengine wote waoneshe kuwa sio wao ni Maurinho. No more excuses.
 
Tunaangalia context of the situation mkuu, pogba anajiona ndo kila kitu naona hata akija kocha mpya kazi anayo kwa huyu kiduku.
 
2014 JF, you are just a kid to me
Hivi nikisema kuwa wewe una kila sababu na vigezo vya kuingia Au kupelekwa katikakati ya Makao makuu ya nchi (Dodoma, Milembe ) utasema Mimi ni mkorofi mkuu.


Hivi Mimi ni member humu kuanzia 2014 na wewe umejiunga May 2018 unathubutu kusema bila aibu kuwa wewe ni mkongwe humu. Mkuu kama umepatwa na mshituko wa kufukuzwa, kutimuliwa, kuswagwa kWa kocha wako kipenzi tafadhali muone daktari kabla hali haijawa mbaya. Hayo ni maoni yangu utakuja kunikumbuka.



Muhudumu Ongeza nyingine.
Kwa hisani ya yule yule swala Mou Pesa, Mou Faya. Mourinho.
 
Tunaangalia context of the situation mkuu, pogba anajiona ndo kila kitu naona hata akija kocha mpya kazi anayo kwa huyu kiduku.
Mkuu Pokea salamu zangu , Tunaomba msituchagulie muziki wa kucheza acheni vijana wafurahi. Usimpangie cha kupost.



BTW karibu hapa Nanjilinji upunguze stress.
 
Man u hakuna RANGI ambayo hamtakaa muione!!!!Eti carick ndio mrithi mpaka mwisho wa msimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…