CalvinPower
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 1,675
- 1,060
Wewe amini uaminivyo boss. Kama wewe timu zenu zinafanya vibaya usitafute mchawi. Kuna watu wengi sio washabiki wa mpira mpaka leo. Sikuwagi kuwa mshabiki wa mpira. Nilikuwa naona makelele tu mnapiga. Ila kuna wachezaji nilikuwa nawasikia tu. Henry. Rooney. Drogba.Blah blah, sema wewe ulikuwa mshabiki wa timu gani, na ukaisaliti ukahamia kwa hao watoto wa juzi
Haingii akilini, kutoka ushabiki wa Wrestling mpaka ushabiki wa soka, kiufupi hiki kitu (ushabiki) huwa sio mtu overnight tu anaanza kukipenda, ni kitu ambacho mtu anakipenda tangu na tangu
Eti mimi sipendi basketball (mfano) ghafla nianze kufuatilia na kushangili NBA, eti niwe Lakers kindakindaki ..... Sidanganyiki