Mou kwa sehemu ana bahati mbaya, na kwa sehemu anajitakia "Jose out movement" kuwepo
Kitendo cha Smalling, Bailly, Lindelof, kuwa majeruhi ni bahati mbaya kwake. Pia Rojo hana match fitness, hivyo kwa jana hakuwa na namna kwenye uoangaji wa defenders
Lakini anashindwaje kupanga midfielders ambao ni attack minded, lakini ambo wana haraka (urgency) uwanjani? Anashindwaje kuwa Fred, Herrera na Pogba katikakati, au hata Pereira? Kama anashindwa kuwapanga hao dhidi ya Southampton, je atawapanga mechi ya Barcelona (UCL) kujua kama combination yao ina tija?
Kwa sehemu anaangushwa na baadhi ya wachezaji lakini sometime anajiangusha yeye mwenyewe. Siku zinavyozidi kwenda anapunguza waliokuwa wanamuunga mkono