Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Upo sahihi.
 
Unajua maendeleo ya Gigs akiwa kocha wa Wales?

In 8 matches, only 3 wins

Juzi tu ametoka kuwashwa na katimu kadogo tu huko ulaya

Ukocha ni kazi
 
Mech ya crystal palace kanikera sana hata bodi ilimlinda sana wenger lakin kila kitu kina tamati yake mkuu kwani mimi ni jiwe au mti nikikaa mahali siwez kujisogeza au kubadilika?
Ki ukweli hata mimi huwa si shabiki wa Mourinho, ila huwa napenda apewe fair judgements

Lakini game ya Cristal Palace imenipa picha ya kuwa mabadiliko hayaepukiki

Lakini, bado naamini kama tunataka United ya SAF hatupaswi kuishia kubadili kocha, tatizo liangaliwe kuanzia kwa structure ya timu (Director of Football awepo), na kocha atakayeletwa pale awe kocha anaeendana na falsafa ya United na si kuleta kocha wa falsafa tofauti tofauti (Mfano Moyes>Van Gaal>Mourinho ni kama mbingu na ardhi).

Hii italeta continuity hata ya mabadiliko ya Wachezaji haitakuwa kubwa sababu Wachezaji wote ni wa aina ya falsafa moja bila kujali kocha anayeletwa.
 
Huwezi kumfananisha SAF na Mourinho, kiuwezo na power aliyokuwanayo juu bodi
 
-Kiungo wa Klabu ya Manchester United Andreas Pereira atajiunga na Klabu ya Arsenal Kwa ada ya Usajili wa £10m ikiwa Klabu ya Manchester United itamuuza katika dirisha la usajili wa mwezi wa kwanza.

Source(Daily Star)
 
-Kiungo wa Klabu ya Manchester United Andreas Pereira atajiunga na Klabu ya Arsenal Kwa ada ya Usajili wa £10m ikiwa Klabu ya Manchester United itamuuza katika dirisha la usajili wa mwezi wa kwanza.

Source(Daily Star)View attachment 947239
Manchester united kupoteza mchezaj mchanga hua ni ngumu sana
 
Kaeni mkao wa kula. Mourinho ana mechi 2 za kufungwa atimuliwe.
 
Were fecking 7th with a negative goal difference with a third of the season done.
We're in a fecking crisis.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…