Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Acha kufananisha Liver na vitu vya kijinga! Enzi za Man U Vs Arsenal zilishapitwa na wakati.

Huu ni wakati wa Liver & Man city
 
unaifananisha Juve Na City Ama Kweli We Ni Daah Acha Nikae Kimya Tu
 
Atasumbua ELP tuu, lakini EUFA hana chake mkuu
 
Herrera,Matic,Lingard walikuwa mzigo sana Rashford alikuwa isolated akawa anakimbia bila msaada
Rashford na martial siwezi kuwasema hawa ukiwaangalia soka la kuzuia hawaliwezi hata mourinho afanyaje panatakiwa wapatiwe wat7 wa maana waachwe huru sio kuwarudisha nyuma kukaba muangalie rashford body language yake utagundua hafurahii huu mpango
 
Hapana Mkuu Hawajakosea pahali! Bali **** Marefa Kama Kina Howard Webb wameshastaafu! Hapo ndiyo shida ilipoanzia If only you know what I mean.
Man U iliishia pale, zile enzi za Rooney anafunga, vidic anashangilia na Web anashangilia naona ndo ziliwavimbisha kichwa, saiz sampuli hiyo ilisha shushwa jumla jumla 😂
 
Rekodi za mechi 300 za mwanzo za ligi kuu Uingereza:
Jose Mourinho: Ushindi: 189
Alex Ferguson: Ushindi: 183
Arsene Wenger: Ushindi: 180
Raphael Benitez: Ushindi: 155
David Moyes: Ushindi 122

Baada ya kipigo kwa Man City, Mourinho anatimiza idadi ya magoli 230 ya kufungwa idadi ndogo kuliko kocha yeyote katika mechi 300 za awali
:
Vilabu vilivyofungwa na Jose Mourinho mara nyingi
Everton 10
Liverpool 9
West Ham 9
Crystal Palace 9

Wachezaji waliofunga mabao mengi chini ya ukufunzi wake Mourinho:
Chelsea: Frank Lampard 49
Man United: Romelu Lukaku 20
Mchezaji mdogo zaidi kufunga chini ya utawala wake EPL ni Antony Martial 19
:
Wachezaji waliotoa pasi nyingi za magoli chini ya utawala wake Man United:
Paul Pogba 17
Martial 11 :
Nahodha wa zamani wa England John Terry, amefunga magoli 15 kwa Chelsea akiwa chini ya Kocha Jose Mourinho kuliko beki yoyote.
 
Offering players like Young and Valencia new contracts tells us everything about where we’re at. City never offered Yaya Toure a new contract, Liverpool didn’t offer Gerrard a new contract, Chelsea didn’t offer John Terry one. We’re stuck offering bang average players contracts.
 
H

Hahahah subiri dawa iwaingie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…