AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,049
Mna UCL tatu tu kijana.
Halafu Brand miaka michache tu mjomba, Akidominate Ulaya basi kazi kwisha maana wanakua wakifisha brand yenu.Kwa jinsi Pep anavyojua kusajili mwakani au mwaka keshokutwa atakuwa ameshaestablish dominance kama ya Juventus kule serie A
We kazania Brand wakati Liverpool ana UCL kuliko nyinyi lakini hiyo Brand yake wanaijua wachache au inakaribia kufa sasa hivi
unaifananisha Juve Na City Ama Kweli We Ni Daah Acha Nikae Kimya TuMna UCL tatu tu kijana.
Halafu Brand miaka michache tu mjomba, Akidominate Ulaya basi kazi kwisha maana wanakua wakifisha brand yenu.Kwa jinsi Pep anavyojua kusajili mwakani au mwaka keshokutwa atakuwa ameshaestablish dominance kama ya Juventus kule serie A
We kazania Brand wakati Liverpool ana UCL kuliko nyinyi lakini hiyo Brand yake wanaijua wachache au inakaribia kufa sasa hivi
Atasumbua ELP tuu, lakini EUFA hana chake mkuuNa hapo kwenye 5+ ndo tofauti na timu zetu ilipo, sisi unapata 2 - 1, 1 bila kwa taabu huku jamaa anavibutua.
Ana makosa machache sana golini ukilinganisha na timu zingine.
Atasumbua sana, naona kaandaa kikosi cha kupambana hadi UEFA, hataki kurudia makosa ya mwaka jana.
Jamaa kajinenepea sana, shingo kama paja.. Nadhani ssa anakaribia 120 maana alikuja na 104
AC Milan wana brand kubwa badoUkubwa wa Club ni mafanikio, vipi AC Milan wana brand kubwa sasa hivi?
Kama unaongelea History sawa
Na mimi ndio nimemshangaaunaifananisha Juve Na City Ama Kweli We Ni Daah Acha Nikae Kimya Tu
Basi mkuu inatoshaApewe mapumziko ya lazima .akapunguze huo mwili. Maanakanenepeana kama mdudu kuku yule anakaa aridhini ana mafuta sana. Lukaku mm mwenyewe nikicheza namba yake nita mshinda. Kabisa
HakikaAcha kufananisha Liver na vitu vya kijinga! Enzi za Man U Vs Arsenal zilishapitwa na wakati.
Huu ni wakati wa Liver & Man city
Rashford na martial siwezi kuwasema hawa ukiwaangalia soka la kuzuia hawaliwezi hata mourinho afanyaje panatakiwa wapatiwe wat7 wa maana waachwe huru sio kuwarudisha nyuma kukaba muangalie rashford body language yake utagundua hafurahii huu mpangoHerrera,Matic,Lingard walikuwa mzigo sana Rashford alikuwa isolated akawa anakimbia bila msaada
Lkn kwa nin kila siku sisi tu 😂Sasa kufungwa ni maajabu kwani hivi Jana pale camp nou kulikuwa na nini
Toa Man u hapo 😂Sasa hivi UEFA iko open, hakuna timu yenye edge kwa zingine, hapa nawaweka timu kama Madrid, Juve, Barca, Man City na Dortmund kwenye kapu la juu, zikifatia Liverpool, PSG, Bayern, Man Utd, Napoli, Atletico, Inter na Lyon kwenye kapu la pili.
Sioni mwenye 40% winning chance.
Man U iliishia pale, zile enzi za Rooney anafunga, vidic anashangilia na Web anashangilia naona ndo ziliwavimbisha kichwa, saiz sampuli hiyo ilisha shushwa jumla jumla 😂Hapana Mkuu Hawajakosea pahali! Bali **** Marefa Kama Kina Howard Webb wameshastaafu! Hapo ndiyo shida ilipoanzia If only you know what I mean.
Hahaha mbaazi zikikosa mauaMan U iliishia pale, zile enzi za Rooney anafunga, vidic anashangilia na Web anashangilia naona ndo ziliwavimbisha kichwa, saiz sampuli hiyo ilisha shushwa jumla jumla
Toa Man u hapo 😂
unaifananisha Juve Na City Ama Kweli We Ni Daah Acha Nikae Kimya Tu
Atasumbua ELP tuu, lakini EUFA hana chake mkuu
Offering players like Young and Valencia new contracts tells us everything about where we’re at. City never offered Yaya Toure a new contract, Liverpool didn’t offer Gerrard a new contract, Chelsea didn’t offer John Terry one. We’re stuck offering bang average players contracts.