Kuna wakati huwa nafikiria Pogba akae bench wachez Matic, Fred na Herera
upenzi hausaidii kwenye ukweliUmeonaeee halaf nimeona nnawashabiki feki wa man u hawa wanaoponda game 1st half
Kuna wakati huwa nafikiria Pogba akae bench wachez Matic, Fred na Herera
Herrera kabadilishiwa majukum yule ni kiungo namba 8 ktk ubunifu ni shida mkuu sema timu yetu ina mapungufu ndo Mana unamuona Herrera Hana ubunifu.Herrera hawezi kumuweka benchi Pogba, Hererra sijawahi kuwa convinced kuwa ni mbunifu. Ubunifu ni jambo la msingi sana kwa viungo, Pogba anawaweka benchi watu sababu ni mbunifu, anaweza kufunga akipata nafasi, kwa mashuti mazuri sijamuona mchezaji wa Old Traford anaemfikia kitu ambacho majority ya viungo hata wazuri duniani hawana kipawa hiki kwenye kushoot
Sijakataa ila pia labda inategemea na tactics za kocha.upenzi hausaidii kwenye ukweli
kama ndo hivyo hata Neville na Scholes ni legends feki
kwenye ukweli sema ukweli....ukiondoa game ya Everton game zake tatu za mwisho United imecheza hovyo first half
Newcastle
Chelsea
Juventus
Kabisa mkuu huyo ndio engine pekee hapo man u.Pogba akicheza vibaya,man united inacheza vibaya and vice versa is true..
Herrera kabadilishiwa majukum yule ni kiungo namba 8 ktk ubunifu ni shida mkuu sema timu yetu ina mapungufu ndo Mana unamuona Herrera Hana ubunifu.
natetea kwa kile ulichosema wewe kuwa wanaoponda 1st half ni fakeKabisa mkuu huyo ndio engine pekee hapo man u.
Kuna pass kapenyezewa lingard bahat mbaya kampasia kipa lile sio shutNaona amemshusha sana Herrera.
Herrera ana pasi zake mpenyezo matata sana na sio mtu wa kukaa na mpira afanye madoido ya pogba.
kama desturi mkuu,ukweli ni kwamba kwa mfumo wowote utd hakuna kiungo wa kumweka benchi ander herrera.Halafu kikubwa zaidi jamaa yuko committed sana kuliko wachezaji wengi pale...Naona amemshusha sana Herrera.
Herrera ana pasi zake mpenyezo matata sana na sio mtu wa kukaa na mpira afanye madoido ya pogba.
Wee jamaa unaandikaje neno "weye?!"
Ayo maneno waachiege akina cute b, everlink....
Herrera kabadilishiwa majukum yule ni kiungo namba 8 ktk ubunifu ni shida mkuu sema timu yetu ina mapungufu ndo Mana unamuona Herrera Hana ubunifu.
Kama Mimi ningekuwa Rashford ningekataaSawa mkuu lakini hili la lukaku kumfundisha rashfod finishing bado ina ukakasi
b
|b
kama desturi mkuu,ukweli ni kwamba kwa mfumo wowote utd hakuna kiungo wa kumweka benchi ander herrera.Halafu kikubwa zaidi jamaa yuko committed sana kuliko wachezaji wengi pale...
Naona amemshusha sana Herrera.
Herrera ana pasi zake mpenyezo matata sana na sio mtu wa kukaa na mpira afanye madoido ya pogba.
Ujio wa Matic umem-cost Herera japo Kocha angeweza kum-accommodate km Sari alivyom-accommodate Ngoro kufuatia ujio wa joginyo.Yet to see kwa huyu Hererra
Hizo fikra zako ni potofu. Yani pogba akae benchi?Kuna wakati huwa nafikiria Pogba akae bench wachez Matic, Fred na Herera