eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Kikosi chenu nimekileta
Chelsea hii hata Alonso anakufunga
Nimejaribu kukuonesha kuwa katika timu ya Chelsea yeyote anaweza kukufunga😀😀😀😀
Kwa hiyo timu inamtegemea Alonso kwenye kushinda magoli?
Naona kikosi tayarView attachment 904672

yan maana yake ni kwamba naku KATA mtama unaanguka chini then naku FUNUA nakuuliza umeukubali mziki then wewe unajibu naukubali BLAZA huku kamasi zikikutoka mapuani 
. Hiyo ndio KATA-FUNUA.Bila shaka umenielewa😀😀😀😀
Kwa hiyo timu inamtegemea Alonso kwenye kushinda magoli?
Mkiambiwa morinho sio kocha mnakataa..haya oneni ujinga tunaocheza..timu haina spirit kabisa!!
Kwa babu fergie tulikuwa tunapambana hatakama tunapoteza mechi..sasahivi timu imekaa kishogashoga..wanaogopaaa..wth!!
Mkiambiwa morinho sio kocha mnakataa..haya oneni ujinga tunaocheza..timu haina spirit kabisa!!
Kwa babu fergie tulikuwa tunapambana hatakama tunapoteza mechi..sasahivi timu imekaa kishogashoga..wanaogopaaa..wth!!