Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kikosi chenu nimekileta
Screenshot_20181020-134658.jpg
 
Hivi mnajua kipigo kitakatifu kinaitwa KATA FUNUA yan maana yake ni kwamba naku KATA mtama unaanguka chini then naku FUNUA nakuuliza umeukubali mziki then wewe unajibu naukubali BLAZA huku kamasi zikikutoka mapuani . Hiyo ndio KATA-FUNUA.

Kaa mbali na Sarriball
 
Martial out Sanchez in. Hili lifanyike mapema sana. Tusisubiri hali iendelee kuwa mbaya.
 
Mkiambiwa morinho sio kocha mnakataa..haya oneni ujinga tunaocheza..timu haina spirit kabisa!!
Kwa babu fergie tulikuwa tunapambana hatakama tunapoteza mechi..sasahivi timu imekaa kishogashoga..wanaogopaaa..wth!!
 
mkuu hyo ndo falisafa ya mwalim teh teh teh teh.! poor man u
Mkiambiwa morinho sio kocha mnakataa..haya oneni ujinga tunaocheza..timu haina spirit kabisa!!
Kwa babu fergie tulikuwa tunapambana hatakama tunapoteza mechi..sasahivi timu imekaa kishogashoga..wanaogopaaa..wth!!
 
Mkiambiwa morinho sio kocha mnakataa..haya oneni ujinga tunaocheza..timu haina spirit kabisa!!
Kwa babu fergie tulikuwa tunapambana hatakama tunapoteza mechi..sasahivi timu imekaa kishogashoga..wanaogopaaa..wth!!
Kuna muda nashindwa hata nianzie wapi kumlaumu mou,hawa wachezaji ni wazembe kama ulivyosema hawana roho ya kupambana kabisa.
Timu ni mbovu kwelikweli.
 
Pass accuracy 91%, leo mnatafutana watu dk 3 nzima wanamiliki wao mpira , nyie hata pasi tano shida na hamna hata short on target.
 
Wachezaji hawaelewani kabisa,wanarukaruka tu.
Bado naamini lindelof sio wa kumsubirisha baily.
 
Back
Top Bottom