Antonio Conte
JF-Expert Member
- Dec 6, 2017
- 1,089
- 1,748
Mourinho hawezi kuandaa mpango wa kumdhibiti Hazard tu Kwa hii Chelsea ya sasa kwasabu Hazard anazungukwa na wachezaji wengine wengi wenye madhala. Kitu cha Mou anapaswa kufanya Utd inabidi icheze kitimu yote.Chelsea threat ni kutoka kwa Hazard tu basi, nina uhakika Mourinho akiandaa plan za kumdhibiti basi! Umeshasahau jinsi Mou alivyomoutsmart Klopp kwenye mechi iliyochezwa Old traford msimu uliopita?
But all in all mechi ni ngumu !