Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread



What next .... ..... .....
Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Another kichapo .... ....




Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Imekula kwenu .... ..... ..... ati mna kawaida ya kushinda kwenye ngwe ya pili ....
mwaka huu mtakoma ubishi khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



 
Mtakoma manyoo mwaka huu,jana mmewacheka watoto wa wenger na nyie leo mnachekwa,mwaka huu piga nikupige,ukikomba ugali watu wanamaliza mboga,utamu kwelikwel.
 
Khe! Mh!,ati nini?,mmefungwa?,sipo hapa kuwacheka,tujipange league ngumu aisee,underdogs hawarembi.duuh!
 
bagoal_12_682x400_1433062a.jpg


Demba Ba breaks the deadlock for Newcastle
Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


ba2_500x500_1433061a.jpg



Demba Ba celebrates with Shola Ameobi
after opening the scoring

ba_500x500_1433059a.jpg

Newcastle players mob Demba Ba after his goal


cabs_12_682x400_1433096a.jpg



Yohan Cabaye fires home a free-kick from distance



lind_12_682x400_1433115a.jpg



Anders Lindergaard can do nothing as Yohan Cabaye's free-kick flies in



dreamboat_500x500_1433119a.jpg


Yohan Cabaye runs away in celebration
after firing home a sublime free-kick



best_500x500_1433169a.jpg


Leon Best celebrates after Phil Jones
turned past his own keeper
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
hapa ndio hua tunakosea. Man utd ina matatizo ya Kocha na sio wachezaji. Hata aje xavi tutaendelea kula buyu. Anapanga timu utadhani anacheza playstation. Pia timu imejaa liabilities, watu kama anderson, rio, evans, evra, nani, berbatov, da silva brothers, owen, gibson etc. Wapo kwa sababu kocha anawalinda

Nakuunga mkono Ngosha Huyu Mzee anakera sana, halafu bado anataka aendelee miaka mitatu mingine totaly tired with this red nose scotch. Yaani timu kama hii Successor wake atakuja kupata shida sana, siwezi kuwalaumu sana wachezaji 7bu uwezo wao unajulikana.
 
Mmecheza game yenu na Blackburn J'mosi,FA wakawapatia 96 hours kupumzika I mean J'mosi--------J'tano, Arsenal wamecheza J'mosi FA wakawapatia 48 hours kupumzika.Pamoja na njama zote hizo za FA na vibahasha vyenu lakini malipo ni hapa hapa,3-2 Old Traford against Blackburn na leo 3-0 against Newcastle na Bado J'pili !!!!!!!!!
 
Mmecheza game yenu na Blackburn J'mosi,FA wakawapatia 96 hours kupumzika I mean J'mosi--------J'tano, Arsenal wamecheza J'mosi FA wakawapatia 48 hours kupumzika.Pamoja na njama zote hizo za FA na vibahasha vyenu lakini malipo ni hapa hapa,3-2 Old Traford against Blackburn na leo 3-0 against Newcastle na Bado J'pili !!!!!!!!!

Sawa Wacha1....tumekusikia..ila hujachelewa..hamia Seria A...nikupe timu?, nenda ile ya Belusconi...mzee wa ndama.
 
Mmecheza game yenu na Blackburn J'mosi,FA wakawapatia 96 hours kupumzika I mean J'mosi--------J'tano, Arsenal wamecheza J'mosi FA wakawapatia 48 hours kupumzika.Pamoja na njama zote hizo za FA na vibahasha vyenu lakini malipo ni hapa hapa,3-2 Old Traford against Blackburn na leo 3-0 against Newcastle na Bado J'pili !!!!!!!!!

wanamajeruhi wengi bana..
 
hapa ndio hua tunakosea. Man utd ina matatizo ya Kocha na sio wachezaji. Hata aje xavi tutaendelea kula buyu. Anapanga timu utadhani anacheza playstation. Pia timu imejaa liabilities, watu kama anderson, rio, evans, evra, nani, berbatov, da silva brothers, owen, gibson etc. Wapo kwa sababu kocha anawalinda

anapanga wachezaji kama anaoteshwa na mashetani..

poleni sana..
 
Khe! Mh!,ati nini?,mmefungwa?,sipo hapa kuwacheka,tujipange league ngumu aisee,underdogs hawarembi.duuh!

unawapa moyo kiivo huwa wanasema city mbovu tu sasa wao wanacheza kama mchezo wa kupiga ramli..
 
Back
Top Bottom