Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,676
- 8,246
hapa ndio hua tunakosea. Man utd ina matatizo ya Kocha na sio wachezaji. Hata aje xavi tutaendelea kula buyu. Anapanga timu utadhani anacheza playstation. Pia timu imejaa liabilities, watu kama anderson, rio, evans, evra, nani, berbatov, da silva brothers, owen, gibson etc. Wapo kwa sababu kocha anawalinda
Mmecheza game yenu na Blackburn J'mosi,FA wakawapatia 96 hours kupumzika I mean J'mosi--------J'tano, Arsenal wamecheza J'mosi FA wakawapatia 48 hours kupumzika.Pamoja na njama zote hizo za FA na vibahasha vyenu lakini malipo ni hapa hapa,3-2 Old Traford against Blackburn na leo 3-0 against Newcastle na Bado J'pili !!!!!!!!!
Jumapili lazima mpigwe kumi kwenye kwenye FA Cup.
Manda kasepa?
Lindegaard Shut up! Fergie Oooouuuuut!!!!:A S embarassed:
Mmecheza game yenu na Blackburn J'mosi,FA wakawapatia 96 hours kupumzika I mean J'mosi--------J'tano, Arsenal wamecheza J'mosi FA wakawapatia 48 hours kupumzika.Pamoja na njama zote hizo za FA na vibahasha vyenu lakini malipo ni hapa hapa,3-2 Old Traford against Blackburn na leo 3-0 against Newcastle na Bado J'pili !!!!!!!!!
hapa ndio hua tunakosea. Man utd ina matatizo ya Kocha na sio wachezaji. Hata aje xavi tutaendelea kula buyu. Anapanga timu utadhani anacheza playstation. Pia timu imejaa liabilities, watu kama anderson, rio, evans, evra, nani, berbatov, da silva brothers, owen, gibson etc. Wapo kwa sababu kocha anawalinda
Khe! Mh!,ati nini?,mmefungwa?,sipo hapa kuwacheka,tujipange league ngumu aisee,underdogs hawarembi.duuh!
kabisa, tumeonesha uzembe uliokithiri
mnh, sina cha kuwaambia ila poleni.
2012 hii...happy 70th birthday SAF...!
wanamajeruhi wengi bana..
ni sherehe mbaya ya kutimiza miaka 70 ambayo hata kaa aisahau..
Jumapili muwamalize kabisa hawa maana beki hakuna pale.