Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

ukuta mbovu ndio unamuweka Rafael mido ? Rooney na giggs nje?! Nani anaboronga unamkaushia. Nambie, kwenye bench la united zaidi ya anderson kulikua na mchezaji gani mwingne wa kubadili game? Acha mapenzi, analyze critically wewe. Tatizo la Man u ni Kocha na sio wachezaji.

badala ya Rafael mido alietoka majeruhi, angeanza Pogba ningemwelewa.

Du! Yaani leo "Babu" ndio amekuwa hafai? Mwenyewe umesema kuwa kwenye benchi kulikuwa hakuna mchezaji wa kubadili game sasa ulitaka Babu aingie mwenyewe?
 
ukuta mbovu ndio unamuweka Rafael mido ? Rooney na giggs nje?! Nani anaboronga unamkaushia. Nambie, kwenye bench la united zaidi ya anderson kulikua na mchezaji gani mwingne wa kubadili game? Acha mapenzi, analyze critically wewe. Tatizo la Man u ni Kocha na sio wachezaji.

badala ya Rafael mido alietoka majeruhi, angeanza Pogba ningemwelewa.

Hivi unajua majeruhi wa man utd? pia Giggs hawezi cheza game mfululizo ndio maana leo alikuwa anapumzika..........rooney naye alikuwa rested kumpa game fitness Berbatov ambaye amefanya kazi nzuri.

Pogda hawezi cheza physical game kama ya leo uliona alivyocheza na Crystal palace?........Nani hakuwa na good game ila kulikuwa hamna sub ya kubadilisha mchezo.

Acha ushabiki wa vijiweni utafikiri pundit wa Clouds fm kwa uzushi.........

Leo ukuta ndio umezingua pamoja na De gea..........hayo ya SAF kuacha MAN UTD unazingua. Blackburn rovers deserved it!!
 
Wakuu wa humu ndani poleni sana kwa kuumaliza mwaka vibaya ila naomba mkumbuke kuvunjika koleo si mwisho wa uhunzi....HAPPY NEW YEAR!!!!

 
Last edited by a moderator:


Wakuu bado dawa inatokota itakuja tu
Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Muwe na subira maana naona ICU inazidi kujaa khe khe khe kheeeeeeeee
 
  • Thanks
Reactions: BAK
m4_19_350x475_1430823a.jpg


Mfarisayo unamfahamu huyu kijana ... ....
Muulize
Manda au Belo walikuwepo ICU
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
article-2080642-0F4E56AE00000578-389_634x310.jpg


De Gea tactics kuzuia goli
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


m9_19_350x475_1430833a.jpg


The happy boy in town .. ....

Fungie alichukia ati anasema uwanja chio nzuri ...... ...
Chacha alitaka kwenda kucheza kwenye cowshed?
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Blackburn wanaweza kufungiwa kucheza mpira sababu ya ubaguzi.Patrik Evra amelalamika kwamba ubaguzi wao uko waziwazi maana jezi zao zina neno BLACK.
 
Man U wameufunga na kuuanza mwaka vibaya!!
Poleni watani!!
 


Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
article-2080810-0F4EF28F00000578-487_468x358.jpg



Chacha tinachubiri kuona kama huu ugomvi mpya utaweza kwisha . ... ...
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


 


What next .... ..... .....
Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Lindegaard ni bora kuliko De Gea.......poleni mashetani
 
Back
Top Bottom