Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Amemwelezea vizuri mourinho kwa kweli ndivyo alivyo mourinho siku zote
Man united pogba, martial, na wengine inabidi wamzoee
Lakini atakutana nae tarehe ishirini amemsifia ili aache kupaki basi ili amfunge vizuri
 
Chuki ilikuwa kubwa sana baina ya mourinho na hazard
Na ishu ilianzia wakati kale kadokta ketu ka kike kanawahi kwenda kumtibu uwanjani
Inasemekana kale kadokta kanachua vizuri kwa hiyo wachezaji walikuwa wanajifanyisha kuumia ili aingie uwanjani kuwananiliu

Mourinho akashtukia mchezo hapo ndipo walipoanza kumgomea jumla
 
Amemwelezea vizuri mourinho kwa kweli ndivyo alivyo mourinho siku zote
Man united pogba, martial, na wengine inabidi wamzoee
Lakini atakutana nae tarehe ishirini amemsifia ili aache kupaki basi ili amfunge vizuri
Hapana mourinho hawez kuacha kupak bus hiyo ndo style yake hazard roho imemsuta kweli alikuwa hovyo sana kipind kile baada ya kubeba ndoo saiv kafunguka baada ya kurud kwenye kiwango chake anafuraha lakin kipind kile alifukuzwa had kocha lakin bado hakuwa mzur mkuu eden kimario hazard kachukua uchezaj bora mkiwa na huo mfumo migomo ya wachezaj ni mibaya
 
mvumilieni lukaku
 
Nakubaliana na wewe lakini pia amemwelezea mourinho kwa usahihi kabisa
 
Jamaa kaongea point chelsea ya sasa inategemea nguvu ya hazard maana willian na pedro bado hawapo vizur siku huyu asipokuwa vizur basi timu inalala angalia gem anazotekea banch au asipocheza mnapata tabu sana
Nyie mnamtegemea Nani..?
 
Namtafuta kipenzi changu everlenk...

Tarehe 20 anakuja darajani, anakuja mwenyewe.....
Hahahahaha!! Kimoyo kimefanya fyaaaaa!!! Nitatoka salama halafu utashangaaje nimetokaje tokaje?nimewezaje wezaje? Wakati vigezo vyote unavyo? Hahahahaha......game tamu sana hilo can't wait it....!!!
 
Hahahahaha!! Kimoyo kimefanya fyaaaaa!!! Nitatoka salama halafu utashangaaje nimetokaje tokaje?nimewezaje wezaje? Wakati vigezo vyote unavyo? Hahahahaha......game tamu sana hilo can't wait it....!!!
Ha ha ha ha....

Uwanja mzima utaenea moshi wa masigara wa Sarri....

Hautoki nakwambia.... Yani yani Baba yako Mourinho ata pata tabu sana.

Niambie best, upo poa?
 
Tunaye Dalot tayari pamoja na Matteo Darmian
Matteo Damian mbona alisema wazi anataka kuondoka Man United ila Mourinho akambakiza kwa lazima na ndio maana jamaa hachezi juve, inter, fiorentina zilikuwa zinamhitaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…