Tanayzer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 3,005
- 7,383
Mimi naona aende bado sijashawishika Karisa... It's only Newcastle with problems like usNauliza mourinho aende au abaki![]()
![]()
![]()
Mimi naona aende bado sijashawishika Karisa... It's only Newcastle with problems like usNauliza mourinho aende au abaki![]()
![]()
![]()
Kumpiga Chelsea kwake sidhani asee, natamani iwe hivo ila sidhani kama itatokea.Mourinho alifichua kuwa alipokea ujumbe wa imani naye kutoka bodi ya Manchester United kabla ya ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Newcastle.
nimeipenda hii nampenda sana mourinho ila philosophy ya kupack bus kwasasa kikosi hakija kamilika... hivyo tufumuke au asepe aje zizzu kikosi kitamfaaa sana
tumepitwa point 7 on top tukiwapiga chelsea tarehe 20 tutakua na imani yakugombea ubingwa
Sarriball sio mchezo..Ngoja tusubiri tuone..this is football anything can happenKumpiga Chelsea kwake sidhani asee, natamani iwe hivo ila sidhani kama itatokea.
Ndoto zingineMourinho alifichua kuwa alipokea ujumbe wa imani naye kutoka bodi ya Manchester United kabla ya ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Newcastle.
nimeipenda hii nampenda sana mourinho ila philosophy ya kupack bus kwasasa kikosi hakija kamilika... hivyo tufumuke au asepe aje zizzu kikosi kitamfaaa sana
tumepitwa point 7 on top tukiwapiga chelsea tarehe 20 tutakua na imani yakugombea ubingwa
Ni kweli chochote kinatokea kwenye mpira na siku zote mpira unadunda ila sio kwenye maji brotherSarriball sio mchezo..Ngoja tusubiri tuone..this is football anything can happen
Sarriball sio mchezo..Ngoja tusubiri tuone..this is football anything can happen
Radika bwana anachambua utafikiri anajibu pepa la NECTAKuna vitu watu mnapost bila hata kufikiria ipo hivi nikufafanulie kwa faida yako na wenzeko wanaofikiria kumpa kampani kocha ni kosa hupaswi kukosoa au kumpa sapot ajae kwamba tunataka mourinho asitoke hapana mpo wrong sababu za kumtoa kocha hazina mashiko hata akitoka bado kwetu fresh kwa kuwa sisi ni manchester united sio mourinho united tunafaham mourinho anasoka bovu tena sana halipo katika tamaduni zetu jiulize kwa nini alipewa timu? Ina maana walitegemea atakuwa pep au klopp? Kapita madrid alitolewa kwa soka lake
Hapa tunasapot timu sio kocha hata kama ukisema humpend kocha ipi nguvu yako ya kumfukuza? Unajitesa bure shangilia timu yako kocha tumefukuza makoch wawili nini tumeambulia?
Soma hilo bango lilikuwepo uwanjani kwa nini? Ni baada ya watu wenye akili kuona bodi inafanya mambo ya kipuuzi kumpa mtu timu ambae si muumini wa soka letu kisha unakuja kumdhalilisha ni kitu kibaya bodi ndio inatakiwa kuvunjiliwa mbali
Angalia arsenal na barcelona wanavyotulia kulinda utamaduni wa mpira wao safi sana zile bao 5 arsenal kashinda sio bahat mbaya hapana katembea na njia za mzee wenger hajapata shida ya mfumo
Siwezi kuichukia timu na kocha wakati wapo wajinga fulani wanafanya maamuzi ya kutesa mashabiki hebu tuone chanzo kwanza kabla ya kumfikia mourinho
Kabla ya mourinho kulikuwa na makocha wazur tu washambuliaji
Walijua van gaal wanamfukuza kwa nini walifanya maamuzi ya kumpa timu mkabaji?
Nilisoma habar za arsenal walivyohangiaka kutafuta kocha wa mfumo wao walimpa arsene wenger muda na yeye walimshirikisha kutafuta mtu wa soka lao hata ufukuzwaji wake ulikuwa na muda sio kama sisi
Manchester city toka ianzishwe na mwekezaj wake 2008 wapo kwenye utamaduni wa soka lao ila sisi tumekuwa watu wa kujaribujaribu tunafeli tunataka makocha watoke halafu wakitoka wanakurupuka tena kutafuta kocha kisha tunananasa sehem mbaya hatupigi hatua hapo
Mimi hata aje kocha gani nitamsuport kama mourinho tu siwezi kulialia na kuponda timu na kocha ila wakicheza vibaya ntasema wakicheza vizur ntasema ndio ushabik ulivyo
Sina mentality ya kumeza kitu kimoja hicho hicho kwamba et lazima kocha atoke what for?
View attachment 890307

Kweli watu wanaamini tatizo ni mourinho bila kuangalia the other side pia.Hahahaha mkuu PTER humu watu wanaona kama sisi ni timu mourinho united wakati ni manchester united
Fact mkuu na ndicho tunatakiwa kufanya watu wanahoji kanunua players hawajajibu kuna makocha pia wamefanya hayo hawasemwi kama pep kamsajili bravo lakin aliona hafai karud tena sokon na hela ya maana kachukua nolito hakufaa karud tena sokon alichukua danillo hakufaa kachukua walker ifike mahali tuache kujiroga wenyewe.Kweli watu wanaamini tatizo ni mourinho bila kuangalia the other side pia.
Kuyumba kwa man u hata 2003 iliyumba sana kiasi cha kuelekea kumfukuza Ferguson lakini baadae aliinvest na team ikawa vizuri tena.
Chelsea ana nini asifungike?Ndoto zingine
Kwa hiyo una uhakika utaifunga chelsea Stanford Bridge
Ni vizuri ila huyo anaewadanganya kuwa chelsea ni hazard peke yake utamsimulia utakachokikutaMpira ni kitu cha ajabu sana mkuu,wale wachezaji wakiamua na kocha asipozingua usishangae Chelsea akapigwa vizuri tu na mikeka ya watu ikachanika vibaya mno.
Chelsea pale ukimtia Hazard mfukoni sijui kama kuna mchezaji wa kusumbua.
Jamaa kaongea point chelsea ya sasa inategemea nguvu ya hazard maana willian na pedro bado hawapo vizur siku huyu asipokuwa vizur basi timu inalala angalia gem anazotekea banch au asipocheza mnapata tabu sanaNi vizuri ila huyo anaewadanganya kuwa chelsea ni hazard peke yake utamsimulia utakachokikuta
Ni vizuri ila huyo anaewadanganya kuwa chelsea ni hazard peke yake utamsimulia utakachokikuta
Tusubiri kama Pedro na willian hawapo vizuri siku hiyo najua mtahangaika na hazard siku hiyo na bado hamtamuweza kabisaJamaa kaongea point chelsea ya sasa inategemea nguvu ya hazard maana willian na pedro bado hawapo vizur siku huyu asipokuwa vizur basi timu inalala angalia gem anazotekea banch au asipocheza mnapata tabu sana
Akichezesha michael oliver mkuuTusubiri kama Pedro na willian hawapo vizuri siku hiyo najua mtahangaika na hazard siku hiyo na bado hamtamuweza kabisa