Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahaha, kaondoka na mbinu za ushindi au?
Nasikia jamaa ndo alikua mtu pekee aliyekuwa anaweza kumchallenge Jose kuhusu kikos au mbinu za mchezo husika na Jose akamsikiliza,,,,,pia jamaa alikua vzr tactically,,, wapo pamoja tokea fc Porto, Chelsea, inter,,Madrid,, Chelsea, man u,then jamaa akaomba kukaa pembeni,,
 
Poleni sana mashabiki wa man u
Tuliwategemea sana kuleta ushindani kwenye ligi lakini kwa kinachotokea ni mpambane na hali zenu
 
Nimeanza kuangalia mpira baada ya goli la pili lakini sikumbuki kumuona Martial kugusa mpira.
 
Sikumbuki kama niliwahi kuwa na imani na Lukaku mkuu,sio aina ya wafungaji ninaowakubali.
Mkuu usijali..Lukaku leo katembea sana na mpira. Kuna dogo kule winga ya kushoto kagusa mpira mara tatu, hajapiga krosi hata moja. Baki aliye nyuma yake Shaw kapiga kross 3.
 
Ila pia tukubali yawezekana hali hii imechangiwa na Daud kushuka kiwango. Huko nyuma alitustiri.
 
Ratiba haiko fair yan wanataka had morinyo afukuzwe ndo wengine tucheze nae

Mkuu tuombe afukuzwe kabla. Mourinho na United hata wakiwa vibaya vipi huwa wanacheza vizuri vs Arsenal na Liverpool. Na Arsenal huwa kama mbwa mbele ya chatu vs Manchester United.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…