Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread



[h=2]Man Utd stick to Rooney story[/h]
Manchester United have dismissed reports in the Sunday newspapers that Wayne Rooney was dropped for the 3-2 defeat against Blackburn for disciplinary reasons.
Read
 
Miafrika kwa kuaribu, eti lile Yakubu limevamia sherehe ya kuzaliwa Mzee Ferguson na kumwagia mchanga keki.


Mzee Manda heri ya mwaka mpya kutoka kwa Yakubu, Mfarisayo Da Gea anakukalibisha pilau la mwaka mpya.

Acha vurugu dogooooooo! hahahaha!
 
Komredi Ngosha

Ww sina hakika kama n Manure fans kwel...hatunaga mashabiki type yako...

Age factor ya SAF has got nthng to do na perfomance ya Manure uwanjan, sidhan ka ndo alimtuma Nani kucheza useng# ule aliokuwa anaucheza jana...embu kuwa mkwl bana..
Runi...ww unataka acheze kila mech?, hachoki?, mind u, rangu ligi ianze amecheza karibia 90% ya mech za manure, tena kwa kuanza...asa duru la pili linapoanza ambalo ni la lala salama tena la umhimu mkubwa ww unataka acheze tuuuuuu...khaaa...au umesahau topic ya game rotation as long as wanaoanzshwa wanafunga? (Beba)??

Nani saga.....unles uwe mgen wa hyu mmakonde, hyu dogo kuna mech anacheza utasema 'to hell wth CR7'...kuna nygne akicheza utataman hata apelekwe kwa mkopo sundaland, despite all his faulties, jamaa anaweza aka deliver matokeo anytym t bana, so the gaffer was gambling.

Giggs...mwachen mzee wa watu apumzike mwaka mpya na wanae...Da gea....he just had a one bad day, kama sio mistake, yy sio robot kuwa na perfection 100%...so ambaye unasema asaval ya Lindrrgard, watch ur mouth, kumbuka mara ngap amekua na gud game.
All n all, msimu jana tulifungwa na Wolves nakumbuka,,tena sie tukiwa kilelen wao mkian kabisa...hili ndilo soka, amna nafas ya kumlaumu mtu wala nn, ao ao kina park na carik ndio ambao wame deliva matokeo wakiwa hvohvo..so amna haja ya kumlaumu mtu apo...n chalenj tu ya kawaida.
 
Jifarijini tu hivyo hivyo, hao toons wenu mtakuja kuwakana siku hiyo

wambie ao shetan wangu...afu kinachonishangazaga yaan wao ndo wanakuwaga na waswas, moto mwingiiii...inhal wnye timu tunakula bia kwa mrija tu, bariiiiid!
 
Kilichotokea jana ni sehemu ya mchezo na ndo raha ya mpira hiyo kwani bila matokeo ya kushangaza na vimbwanga vingine mpira usingekuwa na raha kushangalia. That is the taste of the game.
 
Mbavu zangu!
Wajifariji kwa kipigo nyumbani, 31-12-2011?
Dua la kuku!

Haya sasa kidume wenu city ndio huyo kafungwa........punguza mpira wa vijiweni kijana.

VIVA MAN UTD bring on The Toons
 
Tatizo la kukimbilia hospitalini, Mfarisayo ati alienda ICU kuwajulia hali kina eqlpssssssssssssssssssss, BJ et al halafu akaondoa drip nusura jamaa wafe lakini Manda na Belo walikuwepo kuokoa jahazi walifyatua panick button hivyo madaktari wakawahi kuwaweka sawa. Fungie aliandaa hii ratiba akifikiria ndo ka-win kumbe EPL ile ya mwaka jana imebadilika wacheni kukurupuka ati mashetani ushetani wenu ndio kiama chake chacha.

Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee wengine wamefufuka leo tangu walipochapwa walipotea kama hadithi za Bulicheka.

Chacha imebaki kuulizana wewe sio Mmanure fan o oo ooooooo maloloso kibao ngebe zote kwishnei.
 
Tatizo la kukimbilia hospitalini, Mfarisayo ati alienda ICU kuwajulia hali kina eqlpssssssssssssssssssss, BJ et al halafu akaondoa drip nusura jamaa wafe lakini Manda na Belo walikuwepo kuokoa jahazi walifyatua panick button hivyo madaktari wakawahi kuwaweka sawa. Fungie aliandaa hii ratiba akifikiria ndo ka-win kumbe EPL ile ya mwaka jana imebadilika wacheni kukurupuka ati mashetani ushetani wenu ndio kiama chake chacha.

Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee wengine wamefufuka leo tangu walipochapwa walipotea kama hadithi za Bulicheka.

Chacha imebaki kuulizana wewe sio Mmanure fan o oo ooooooo maloloso kibao ngebe zote kwishnei.

Punguza pelekete mtt wa kiume..unaujua moto wetu niaje, hofu yako naitambua...usijali, sitakutwanga nane tena Emirata ili walau uingie Top 4...deal?
 
Komredi Ngosha

Ww sina hakika kama n Manure fans kwel...hatunaga mashabiki type yako...

Age factor ya SAF has got nthng to do na perfomance ya Manure uwanjan, sidhan ka ndo alimtuma Nani kucheza useng# ule aliokuwa anaucheza jana...embu kuwa mkwl bana..
Runi...ww unataka acheze kila mech?, hachoki?, mind u, rangu ligi ianze amecheza karibia 90% ya mech za manure, tena kwa kuanza...asa duru la pili linapoanza ambalo ni la lala salama tena la umhimu mkubwa ww unataka acheze tuuuuuu...khaaa...au umesahau topic ya game rotation as long as wanaoanzshwa wanafunga? (Beba)??

Nani saga.....unles uwe mgen wa hyu mmakonde, hyu dogo kuna mech anacheza utasema 'to hell wth CR7'...kuna nygne akicheza utataman hata apelekwe kwa mkopo sundaland, despite all his faulties, jamaa anaweza aka deliver matokeo anytym t bana, so the gaffer was gambling.

Giggs...mwachen mzee wa watu apumzike mwaka mpya na wanae...Da gea....he just had a one bad day, kama sio mistake, yy sio robot kuwa na perfection 100%...so ambaye unasema asaval ya Lindrrgard, watch ur mouth, kumbuka mara ngap amekua na gud game.
All n all, msimu jana tulifungwa na Wolves nakumbuka,,tena sie tukiwa kilelen wao mkian kabisa...hili ndilo soka, amna nafas ya kumlaumu mtu wala nn, ao ao kina park na carik ndio ambao wame deliva matokeo wakiwa hvohvo..so amna haja ya kumlaumu mtu apo...n chalenj tu ya kawaida.

me man u 100%. Time wil tell

kwa mimi
these players should be sold: gibson, rio, evra, nani, anderson, berbatov, owen, macheda, kuszack, evans
 
SNE2201P-682_1149111a.jpg


Ati timu kubwa inafuata wachezaji na mapanga nyumbani phew!
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Punguza pelekete mtt wa kiume..unaujua moto wetu niaje, hofu yako naitambua...usijali, sitakutwanga nane tena Emirata ili walau uingie Top 4...deal?

Umerudi vipi ICU?
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
in the
heart of Milan fans the real hero is Filippo
Inzaghi.
Every match Milan fans sing: "Ohi Ohi Ohi
Pippo Inzaghi segna per noi,” even when Pippo is not on the field.
 
Lindegaard ni bora kuliko De Gea.......poleni mashetani

Nakuunga mkono kwa hilo ingawa mashabiki wahafidhina wanamkumbatia De Gea!Ukweli ni kwamba Lindegaard ni bora zaidi.NANI ni mpiganaji ila tatizo lake ni ubinafsi.
 
in the
heart of Milan fans the real hero is Filippo
Inzaghi.
Every match Milan fans sing: "Ohi Ohi Ohi
Pippo Inzaghi segna per noi,” even when Pippo is not on the field.
Tehetehe! kaka, za miaka mingi?, poole sana..najua tangu uende migodini kusaka dolali mambo yamebadilika sana hapa mtaaani..ona sasa ushapotea hadi kwako, ni mtaa wa nyuma hapo, nyumba yako iko karibu na dampo kuuubwa la karibu hapo..
Karibu sana aise.
 
Back
Top Bottom