Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread


...Dahhh, wazee nilidhani mta keep pace na hawa man citeh ila ndio hivyo tena...poleni bana, nipo nanyi katika maombolezi ya kuufunga mwaka,...

mwaka mpya mambo mapya ...HAPPY NEW YEAR EVERYONE!
 
Dah, tumeaibishwa tena "chumbani kwetu?"

Huu mwaka umetuishia vibaya!
 
[h=1]Manchester United 2 Blackburn 3[/h]
hanley_1430832a.jpg
 
Mlitucheka sisi vs wolves,anyway mimi sikucheki rafiki ila tuwe makini na vitimu vya mkiani.
 
Man u hatuna kocha! 70 yrs b'day, 25 yrs as a Manager he thinks shit if i were man u owner ths could have been his last game

Hebu acha kelele wewe, ulitaka SAF afanye nini ukuta wetu wengi ni majeruhi na kipa leo alikua anasiku mbaya kazini sasa ulitaka SAF aingie yeye.

Ndio maana huna timu na mawazo yako..........
 
Lawama zote zipo kwa De gea leo kachemka pamoja na timu ilishindwa kuziba vizuri mapengo ya majeruhi. Ila leo matokeo ya timu nyingi yatakuwa ndivyo sivyo.
 
hakuna haja ya kumlaumu kocha its just a game, mbona tukishinda goli 5 hatumlaumu kocha? ila tukifungwa tu ndo anakuwa mbaya.

Viva man utd we go on
 
Wallah n'taanzisha huduma ya kuwaombea watu! Kumbe maombi yangu ya jana yamejibiwa...! Bitter nyu ya mashetani wote kwa sababu hamfai!!!
 
Hebu acha kelele wewe, ulitaka SAF afanye nini ukuta wetu wengi ni majeruhi na kipa leo alikua anasiku mbaya kazini sasa ulitaka SAF aingie yeye.

Ndio maana huna timu na mawazo yako..........

ukuta mbovu ndio unamuweka Rafael mido ? Rooney na giggs nje?! Nani anaboronga unamkaushia. Nambie, kwenye bench la united zaidi ya anderson kulikua na mchezaji gani mwingne wa kubadili game? Acha mapenzi, analyze critically wewe. Tatizo la Man u ni Kocha na sio wachezaji.

badala ya Rafael mido alietoka majeruhi, angeanza Pogba ningemwelewa.
 
Lawama zote zipo kwa De gea leo kachemka pamoja na timu ilishindwa kuziba vizuri mapengo ya majeruhi. Ila leo matokeo ya timu nyingi yatakuwa ndivyo sivyo.
Mbavu zangu!
Wajifariji kwa kipigo nyumbani, 31-12-2011?
Dua la kuku!
 
Lawama zote zipo kwa De gea leo kachemka pamoja na timu ilishindwa kuziba vizuri mapengo ya majeruhi. Ila leo matokeo ya timu nyingi yatakuwa ndivyo sivyo.
Mbavu zangu!
Wajifariji kwa kipigo nyumbani, 31-12-2011?
Dua la kuku!
 
ukuta mbovu ndio unamuweka Rafael mido ? Rooney na giggs nje?! Nani anaboronga unamkaushia. Nambie, kwenye bench la united zaidi ya anderson kulikua na mchezaji gani mwingne wa kubadili game? Acha mapenzi, analyze critically wewe. Tatizo la Man u ni Kocha na sio wachezaji.

badala ya Rafael mido alietoka majeruhi, angeanza Pogba ningemwelewa.

haiwezekani rooney akacheza kila mechi. kama man utd wanaoshika nafasi ya pili tena kwa tofauti ya magoli tu hawana kocha s
 
I'll be back khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nishaandaa dawa khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom