Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,179
- 37,475
Haaaa haaaaMourinho hopeless na bogus of high degree,,how can you trust victor lindelof over Eric Bailly??
Haaaa haaaaMourinho hopeless na bogus of high degree,,how can you trust victor lindelof over Eric Bailly??
Kudamshi ndio nini?Yaan wanaangalia wenye nyumba tuu, afu wee jamaa umemdashi mwenzio
Pole sn mamitoh.... I really feel bad Kwa huyu mourinho anavyo wafanyaAsante best kutesa kwa zamu!!
Mungu hawezi kuisaidia Man united chochote... Kwa sababu uzembe mnafanya wenyewe. Fukuzeni iyo Mourihno araka chukua Wenger halafu uone kama Mungu hattojibu maombi.Poleni ndugu zangu kwa haya tunayoyapitia,dahh!! Sasahivi hali imekuwa ngumu kweli kweli vijiweni hakukaliki,makazini tabu tupu,basi tujipe tu moyo na hili nalo linapita,linapitaje???? Mungu aingilie kati.... tujipe tu moyo pamoja na ugumu wote tuseme tu GGMU!!!![]()
Do you agree with the Manchester United legend?Jamaa kaandika kwa hisia sana,
Wale watetezi Wa Mou akili viroba sijui hata kama watasoma hii article.
Nilishangaa alimaliza dakika 90 hakuna hata cha maana alichofanya ni bora hata kumchezesha mata upande ule tujue hatuna bekiYoung jana alicheza ujinga sana. Nahic ni ujumbe anatoa mana c kawaida yake
Nilishangaa alimaliza dakika 90 hakuna hata cha maana alichofanya ni bora hata kumchezesha mata upande ule tujue hatuna beki
Hahaa De Gea... FyekaaaMAN U MSITULETEE HADITHI ZA ALIFULELA ULELA
LUKAKU......Fyeeeeeka
POGBA......Fyekaaaaa
FELLAINI...Fyekaaa
DE GEA....Fyekaaaa
MOURINHO.....FYEKELEEEEA MBALIIIIIILI![]()
Lugha sio ishu atatafuta mkalimani
Wanadai Zidane ameanza kujifunza lugha ya malkia. Halafu Zidane anaitaka MUFC huyu,atatufaa.
Tuiombee Valencia ikaze.
Is Ferdie not United Legend ????Do you agree with the Manchester United legend?
View attachment 882447
Zidane haiwezi United
Wanadai Zidane ameanza kujifunza lugha ya malkia. Halafu Zidane anaitaka MUFC huyu,atatufaa.
Tuiombee Valencia ikaze.
Hakuna mchezaji mbovu United.kwa wachezaji mlionao! hata akija gadiola hatowavusha,
mna wachezaji wabovu wanaokuzwa na media
-mbaya zaidi na nyinyi mashabiki mmeingia kwenye mkumbo huohuo, mnasifia kila kitu
wachezaji kama lingard, Herrera, rashford,smalling, hawakutakiwa kua wachezaji wenu ila kwa bahati mbaya ndio mnawategemea
mtu anayekuja kuwatengenezea timu hakikisheni mnampa anachotaka sio mnamletea ujuaji wa sifa zisizositahili za wachezaji wenu
-bado naamini Manchester United iliyokua inaenda kuludi enzi zake ni hii ya mou.
Toa Mou leta kocha mpya....
Uza jones,smalin, lindelof,mata,fellain, unapata angalau paun mil 100 hpa kama unauza kwa bei ya hasara.....
hiyo pauni million 100 unanunua centre back cb wawili wakali, hata 75 kaa maguire fresh maana atakuja kuwa captain bora hiyo inabaki 25....
Tunambembeleza Mou tusimpe pauni mil 12 tumpe paun mil 6 hapo jumlisha ile 25 inakuwa paun mil 31 unapata beki mzuri pale france au ujerumani .....mpaka hapa tunabeki za kati 2 mpya za kumsaidia bailly........
Unampa kocha mpya paun mil 300 anunue viungo namba 10 na straika 1.....
Unawafuata thiago,rodrigues,ndombele wa lyon kupiga 6, au mnyama mwingine wa kusaidiana na matic......
Unakuwa umechoma kama paun mil 200 hapo basi unaenda Torino unatoa 75 nyingine umamchukua Bellotti kumchallenge lukaku.....
Kazi inakua imeisha