Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nmekusomaa mara 3 mkuu wacha nisitie neno
 
Jamali Pamba Maandazi ni kocha wa Mbao Fc au?
 
Pogba jeuri kichizi,
 
Liver hawana mchezaji hata mmoja kuzidi United. Ni mipango ya kocha na saikolojia ya wachezaji. Huyo Sara ni nyoroto/soft kuliko hata Martial lakini anatupia.
sasa na nyinyi mmezidi pambaneni na shida za team yenu na sio kulinganisha wachezaji!

hivi wewe kwa akili zako zote unamlinganisha martial na salah?? jamani mbona mnakosa adabu??
huyo martial hata kwenye kikosi cha France katemwa alafu unamfananinsha na puskas award winner!!!?? salah ni mchezaji wa sayari nyingine bhana!!
 
Ametemwa kwa kukosa michezo ya kutosha ngazi ya Club. He is more talented than Salah. Kwani Salah aliyeitwa kikosi cha Egypt kuna cha ziada alichofanya. Martial akicheza chini ya kocha makini, ni mzuri.
 
Captaincy wampe Hererra na Msaidizi wake awe Matic au Malling.Hawa jamaa ni wapambanaji na wakipewa hicho cheo watafia kwa pitch.

Valencia saiz hawezi kucheza mechi nyingi na huwa yupo humble sana, hawezi kukasirika
 
Ametemwa kwa kukosa michezo ya kutosha ngazi ya Club. He is more talented than Salah. Kwani Salah aliyeitwa kikosi cha Egypt kuna cha ziada alichofanya. Martial akicheza chini ya kocha makini, ni mzuri.
tuzungumze kama vile tunajua mpira jamani! uwezi kulinganisha kikosi cha misri na France! ninachokukuakishia salah kama angekua mfaransa bila wasiwasi dedier dechamps angumjumuisha na salah kwenye kikosi cha France lakini sio crap martial!!

salah amekua mfangaji bora last season; nikuulize wewe martial amekua utd tokea enzi za Sir Furgason, Moyes, LVG, giggs na sasa Mourihno : alishawai kufikisha hata goal 20 in EPL??

tuwe tunaheshimu records jamani!

martial akija Liverpool ata bench akai nakwambia!
 
No player is bigger than a Manager or a Club. Mourinho anajua cha kufanya in January.
 
Sikutaka kulinganisha wachezaji hao bali hoja ilikuwa kuona influence ya mwl kwa wachezaji. Jiulizd ni ipi ilikuwa nafasi ya Salah kabla ya Jugen?
 
Sikutaka kulinganisha wachezaji hao bali hoja ilikuwa kuona influence ya mwl kwa wachezaji. Jiulizd ni ipi ilikuwa nafasi ya Salah kabla ya Jugen?
Mourihno sio kocha bora interms of how to build up the unity, solidality in the team!

hana sifa ya kumjenga mchezaji na akawa kwenye ubora!

juzi jamie callagher alimchana kua ana destroy kipaji cha Rashford lakini mourihno akamind!

na callagher akamshauri rashford kama anataka kua top striker is better akaenda team kama Everton au wattford lakini sio kusalia utd maana mourihno sio kocha wakujenga ni kocha wa kubomoa! period
 

Mourinho atakapoondoka Man U Uengereza hawezi Kuchukuliwa tena na Top 6 yoyote, Wala Spain Hawezi Rudi tena (Kwa Real & Barca)..

Kwahiyo Bado Nafasi anayo Kwani Kabakisha PSG, Bayern na Juventus anweza Kwenda kujaribu Kurewrite expired CV Yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…