Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kumbuka hata valencia alikua namba 7...ila kwa sasa ni namba 2 tegemezi.. Ningekua mou ningemjenga perreira awe namba 6 na ameonyesha anaeza akipewa nafasi...
Mkuu haya ya kubadili namba ndo yanatuponza watu wanatakiwa kucheza sehemu zao sahihi wakina rashford wameanza kuwa magoigoi angalia mechi alizocheza shaw tulivyokuwa tunatakata.
 
Mkuu haya ya kubadili namba ndo yanatuponza watu wanatakiwa kucheza sehemu zao sahihi wakina rashford wameanza kuwa magoigoi angalia mechi alizocheza shaw tulivyokuwa tunatakata.
Matic ndo ana red kwa hiyo tarajia pereira, felain au herera kuchukua nafasi...
 
Leo Kwa Mara Ya Kwanza Naiangalia Hii Timu Daah Tumebadilika Sana Kiuchezaji Tukiendelea Ivi Kuna Kikombe Tutaweka Kabatini Na Hawa Watford Hawana Maajabu Yoyote Hata Kama Watashinda Izo Mechi Zao Nne Sijui Walipataje Ushindi
Kwani mkuu nyie manure mnataka kombe gani msimu huu?
 
His Excellency, Field Marshal marouanne fellaini, VC, DSO, MC, Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Seas and Conqueror of the British Empire in european in General and belgium in Particular.
1537069045363.png
 
His Excellency, Field Marshal marouanne fellaini, VC, DSO, MC, Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Seas and Conqueror of the British Empire in european in General and belgium in Particular.
View attachment 867700
Ila all in all jana tulipiga mpira mzuri kama desturi ya man u.fella alifanya kitu .timu inaonyesha kitu now.carrick atakua mtu muhim sana kwny tim maana nadhani toka ameanza kua hapo kwny bench mambo yameanza kuwa kama tunavopenda
 
Timu ina improve hasa baada ya kudeploy viungo watatu wa kati mmoja akiwa anacheza dip.

Tukipata defense nzuri maana yake tutamwona Fred akipata nafasi. Kuchezesha Fred na Pogba juu ya Matic, Matic anaelemewa, mid inapwaya na defense inakuwa exposed!!

Lakini bado naona Fred ana nafasi ya kuwa ana altenate na Lingard au Sanches. Siyo physical sana lakini has more of football intelligency than the pair.
 
Timu ina improve hasa baada ya kudeploy viungo watatu wa kati mmoja akiwa anacheza dip.

Tukipata defense nzuri maana yake tutamwona Fred akipata nafasi. Kuchezesha Fred na Pogba juu ya Matic, Matic anaelemewa, mid inapwaya na defense inakuwa exposed!!

Lakini bado naona Fred ana nafasi ya kuwa ana altenate na Lingard au Sanches. Siyo physical sana lakini has more of football intelligency than the pair.
Uchsmbuzi bora mno
 
Back
Top Bottom