Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Smalling
1537032711628.gif
1537032721121.gif
 
Leo Kwa Mara Ya Kwanza Naiangalia Hii Timu Daah Tumebadilika Sana Kiuchezaji Tukiendelea Ivi Kuna Kikombe Tutaweka Kabatini Na Hawa Watford Hawana Maajabu Yoyote Hata Kama Watashinda Izo Mechi Zao Nne Sijui Walipataje Ushindi
 
Sijafurahia tunavyochez kipindi cha pili. Kama tuliweza mwanzo,kwanini sasa hivi turudishe timu nyuma?
 
Sijafurahia tunavyochez kipindi cha pili. Kama tuliweza mwanzo,kwanini sasa hivi turudishe timu nyuma?
 
Sijafurahia tunavyochez kipindi cha pili. Kama tuliweza mwanzo,kwanini sasa hivi turudishe timu nyuma?
 
Sijafurahia tunavyochez kipindi cha pili. Kama tuliweza mwanzo,kwanini sasa hivi turudishe timu nyuma?

Mkuu unajaza thread kwa kurudia rudia post, acha kupanick.

Man Utd haina tofauti na gari la mkaa, tulioko barabarani tunaona limepinda ila dreva na utingo wanaona liko sawa.

Kupaki basi ndo jadi yenu.
 
Kwel morihno kaishiwa mbinu au wachezaji ndio wanamuangusha?? Tim haina flow nzuri ya mpira wapiga piga to alimradi mpira umeenda mbele...
Poor United
 
Back
Top Bottom