Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Sababu kubwa ni timu pinzani wanayokutana nayo, Mourinho amekua akimuanzisha Lindelof kwenye mechi ambazo anajua timu itamiliki mpira zaidi ya mpinzani wake au timu pinzani haina straika ambae ana mwili mkubwa na msumbufi.
Hivyo hivyo ata kwa Man City, Laporte ananza mechi nyingi ambazo City ana uhakika wakutopata upinzani kutoka kwa mastraika wasumbufu. Angalia mechi kubwa kama Laporte kaanza ata moja.
 

Huyu dogo kwenye game za timu ya taifa hana makosa madogo madogo kama akiwa united,kuna anayeweza kulisemea hili tafadhali?
 
Lukaku huwa anakosa clear chance :YES na sio yeye tumeona Morata,Auba,Sterling,Suarez wanakosa magoli
Lukaku last season alianza kwa kasi sana but msimu huu hakuwa na pre-season so hana match fitness (same to Pogba,Matic) na mfumo anaocheza United anapewa mzigo mkubwa sana.Mara nyingi anarudi kati kutafuta mpira na mara nyingi anakuwa isolated peke yake kupambana na 2 CB + Fullbacks

Mpira wa siku hizi umebadilika sana sio wa kumtegemea striker pekee ndio wafunge magoli defenders+midfielders wanapaswa kumsaidia Lukaku/timu kufunga magoli.
One of the strenghth za Lukaku ni mipira ya juu but our midfielders wanashindwa kumtengenezea nafasi ya magoli ya vichwa
 
Goli la Mo Salah dhidi ya Everton lipo kati ya magoli yanayowania tuzo ya FiFA ya Puskas pia Salah anawania tuzo ya Mchezaji Bora wa Kiume wa FIFA 2018.

Mashabiki wote wa Liverpool na wapenda mpira wa ukweli fuata link hii kisha chagua Mo Salah. Anaejua mpira anastahili


The Best FIFA Football Awards
- FIFA.com

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu dogo kwenye game za timu ya taifa hana makosa madogo madogo kama akiwa united,kuna anayeweza kulisemea hili tafadhali?
Pale United hana beki kiongozi. Hakuna senior wa kumtumà.

Pale Sweden ana mkongwe mmoja, nadhani ni 35yrs old ambaye ana form partnership naye nzuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mada yangu ilibase hapo tu kama ulinielewa vizuri sijasema kuhusu mfumo, match fitness au morale nimesema clear chances na hakuna kocha anaefundisha kufunga
 
mada yangu ilibase hapo tu kama ulinielewa vizuri sijasema kuhusu mfumo, match fitness au morale nimesema clear chances na hakuna kocha anaefundisha kufunga
Magoli anayokosa Lukaku mengi ni kuchelewa kufanya decision mwili wake ni mkubwa anachukua muda mwingi kufanya decision so ni rahisi kipa/mchezaji kumkaba/kumzuia
 
Magoli anayokosa Lukaku mengi ni kuchelewa kufanya decision mwili wake ni mkubwa anachukua muda mwingi kufanya decision so ni rahisi kipa/mchezaji kumkaba/kumzuia
nadhani tunaongea lugha moja sasa tukabaliane kwa pamoja kwa Lukaku si mchezaji anaetakiwa United
 
nadhani tunaongea lugha moja sasa tukabaliane kwa pamoja kwa Lukaku si mchezaji anaetakiwa United
Football is teamwork sport unlike boxing ndio maana Olivier Giroud ni WC winner
 
Football is teamwork sport unlike boxing ndio maana Olivier Giroud ni WC winner
unataka kunambia lile la wazi agaist Spurs pia linahitaji team work?? au mimi sielewi maana ya team work
 
Hii timu haina mwelekeo.jana tumeshinda lakini timu yetu imeoza
 
Kumlinganisha Lukaku na Drogba ni matusi kwa drogba.
 
laiti tungepata mtu kama Van nestroy au Van Persie foward yale magoal anayekosa Lukaku tusingekuwa tunalaumu sasa hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…