Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Na Sanchez unamuweka wapi, bonge la striker, powerful, ana shabaha, pale hatumiki tu!
 
Baada ya kuangalia review play ya ile game, mabeki wa Man wakiendelea hivi wasubiri makapu ya magoli. marking na aggressiveness ya kuokoa mipira ilikuwa very very poor
 
Mech ya spurs tungekuwa na striker makin mech iliisha kipind cha kwanza
Lukaku ni mzuri sana, tatizo la mashabiki wa Man U mnamfananisha mchezaji na mchezaji. Angalieni upande wa pili wa Lukaku, so powerful, anacheza dakika zote, yuko na shabaha akipewa pasi nzuri. Tatizo pale ni wanaotakiwa kutoa mipira hawafanyi vizuri kazi yao.
Ushauri, Pogba akiuzwa Man U watakuwa wazuri sana kwani kocha na wachezaji wenzake wana expectation kubwa kutoka kwa Pogba ambayo kwa kweli haitimizi kabisa. Masifa na mbwembnwe nyingi akiwa na mpira zinamfanya awe na analoose mipira mara kwa mara
 
Support ya Giggs sidhani kama inaweza kumbakisha kama atapoteza tena mechi dhidi ya Burnley mkuu.
Hata body bado inamtaka MO, washabiki walio wengi bado wana imani na MO. Ni hapa JF tu ndio wanamuona MO hafai
 

Auzwe Pogba? Sidhani Kama Kuna Kocha Mwenye Akili Timamu Anaweza Kumuuza Mchezaji Aina Ya Pogba.
 
Auzwe Pogba? Sidhani Kama Kuna Kocha Mwenye Akili Timamu Anaweza Kumuuza Mchezaji Aina Ya Pogba.
Pogba ana attitude mbaya ambayo haitamletea mafanikio pale Old Traford has tangu Sanchez anunuliwa na kulipwa mshahara mkubwa kuliko yeye
 
Pogba ana attitude mbaya ambayo haitamletea mafanikio pale Old Traford has tangu Sanchez anunuliwa na kulipwa mshahara mkubwa kuliko yeye

Tatizo lipo Kwenye Dressing Room! Ni kwamba Mourinho Kalose Control.
Siku atakayoondoka Mourinho na Akapatikana New Coach amabaye Ataidhibiti Dressing room, basis Pogba atarudi upya.
 
Inasikitisha sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kilichobaki ni kuomba Burnley watufunge bao za kutosha huyu Kocha aache kutusumbua na Ujinga wake.

"Mou sitamkubali sijawahi kumkubali hadi afe au nife mimi"
 
Kweli hii walikuwepo siku ya j3 ???
 

Attachments

  • IMG-20180830-WA0024.jpg
    41 KB · Views: 38
Martial 'one of four untouchables'

Anthony Martial is one of four players Ed Woodward will ‘never sell during his time at United’, according to reports.

The Telegraph suggest the France forward’s position at the club is safe and that the 22-year-old remains in the long-term interest of United.

Martial is joined on the four-man shortlist along with Luke Shaw, Marcus Rashford and Jesse Lingard who are also untouchables at the club.

Interestingly there is no mention of Paul Pogba, Romelu Lukaku or David de Gea in the report.
 
So were Nottingham Forest, Liverpool
Hawatak kufanya makosa kama walivyofanya kwenye hizo timu hadi waliziacha zikaanza kuyumba liverpool anarudi.

Jana Nottingham forest kampa za kutosha newcastle ni timu ambayo ikirud mjipange mlishapigwa chuma nne akiwa kulekule championship mwaka jana.
 
Tatizo lipo Kwenye Dressing Room! Ni kwamba Mourinho Kalose Control.
Siku atakayoondoka Mourinho na Akapatikana New Coach amabaye Ataidhibiti Dressing room, basis Pogba atarudi upya.
Wala tatizo sio hilo, tatizo ni malipo ya Sanchez tu. Hata akitoka Mo, Pogba hataridhika mpaka auzwe ili akalipwe mshahara anaoutaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…