Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nikiangalia hiki kikosi kilichombamiza mtu nane,naona kabisa matatizo ya kiuongozi ndani ya timu yetu.


Mkuu unajua ukiyaangalia Haya Maneno ya Ed Woodward yanayosema “Playing performance doesn’t really have a meaningful impact on what we can do on the commercial size of the business,” watu wengi Wameyachukulia Poa na Kudhani Ni Maneno Yake Mwenyewe!!!

Hilo sio Kweli! Ed Ni Muajiriwa Hawezi Kusema Maneno Hayo Hata Siku Moja Mbele ya Waajiri Wake! Huyu yeye Kayawasilisha tu Kwa ajili ya Kukill tuhuma Za Mourinho! Kiukweli Hayo Ni Maneno Yanayotoka Kwa Familia ya Glaza ambao wapo Kibiashara zaidi.
 
ana tabia za kike.
 
Nashangaa lukaku anawezaje kucheza chini ya Mou ambaye alimuuza akiwa Chelsea. Lukaku alishindwa kujiongeza na kujua kuwa anaenda kucheza na kocha aliyemtimua?

Bora angekubali lile dili la kuja Chelsea, pengine leo asingekuws na presha sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Maneno Haya Nimeyakuna Kuna Mshkaji Kayaandika Kayatweet: "Pogba had 3 defensive mids behind him and an attacking mid besides him. This is the most unlocked a human being can possibly be, and he has dropped a 4/10 again. This is his third season here, whoever still calls him world class, have some shame".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…