lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,200
- 28,082
Mi namuheshimu sana mourinho ni kocha mzuri sana duniani na ukitaja makocha kumi bora duniani jina lake lipo
Nachoona kuna kampeni wachezaji wameianza wakiongozwa na pogba Sanchez na de gea
E&K
Hawamtaki kocha.